Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,742
218,334
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki

Screenshot_2024-03-18-22-17-11-1.png


Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia

Screenshot_2024-03-18-22-16-38-1.png


Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .

Sugu Mkombozi wa wakulima
 
CHADEMA inatekeleza agenda ya maendeldo ya watu kwa vitendo na ndiyo maana viongozi wake wanaojua kujiajiri mfano Joseph Mbilinyi Sugu , Meya Boniface, Freeman Mbowe, Mungai, Peter Msigwa na wengine wengi wanafaa kuongoza nchi katika kuanzia udiwani hadi uongozi wa juu nchini ili maendeleo ya watu yapatikane.

Tofauti na wale wa chama dola kongwe, ni waajiriwa wa serikalini na bungeni hivyo hawajui biashara wala maana ya kujiajiri hivyo muda wote sera za CCM ni kukandamiza raia waliojiajiri kama wakulima, wavuvi, wafugaji,wafanyabiashara.

CCM wanawaza kuweka mageti kuzuia mazao ya wakulima, hawana mpango kuweka mazingira ya uvuvi yawe mazuri ingawa tuna bahari na maziwa yenye samaki, wanafungia magazeti binafsi, wanavyeka mazao ya mbogamboga (horticulture), kubomoa kumbi za starehe Bilicana n.k hii ni Kwa sababu viongozi wa CCM waliopo madarakani hawakuwahi kujiajiri kwa namna yoyote wanasubiri pensheni ya wastaafu ya waajiriwa wa serikalini na katika chama pale Lumumba na makao makuu ya CCM.
 
Waturuki ni wapenzi wa maharage wao huita Kuru Fasulye.

Huyapika maharage kama supu, huchanganya na pilau na pia huchanganya na nyama ambayo huita Etli Kuru Fasulye.

Waturuki watayapenda maharage ya Mbeya maana hayahitaji maji mengi kuyapika.

Ndaga fijo umwana uju.

Aache siasa sasa afanye biashara.
 
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki

View attachment 2938598

Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia

View attachment 2938599

Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .

Sugu Mkombozi wa wakulima
Acha kutuganyana, kama uwezo wako kufikiri sawa na Sugu sema.
Kwanza Waturuki kwa taarifa yako si wazungu, sugu we!
Halafu bilateral agreements hazifanyiki vijiwe vya kahawa na wasela waliovaa vikaptula.
Sema Sugu kaenda tafutiwa dame mitaani Instanbul, tutakuelewa.
 
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki

View attachment 2938598

Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia

View attachment 2938599

Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .

Sugu Mkombozi wa wakulima
Umeshaita wazungu hapo hskuna kitu walipita kujibanza pale hotelini unatulitea mauza uza ya stori!
 
Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia
Kama ni kweli hongera zake aanze kununua sasa sababu yeye ndie anajua hilo soko
Atanunua bei gani kwa kilo?

Hatuhitaji kujua atauza kule uturuki bei gani hayo ya kwake
 
Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Sugu alipomaliza Advance akaanza mziki..
Na hizi ndo album zake..

  • Ni Mimi (1995)
  • Ndani ya Bongo (1996)
  • Niite Mister II (1998)
  • Nje ya Bongo (1999)
  • Millennium (2000)
  • Muziki na Maisha (2001)
  • Itikadi (2002)
  • Sugu (2004)
  • Coming of Age-Ujio Wa Umri (2006)
  • VETO (2009)
  • Antivirus Mixtapes (HII ILIKUWA KIPINDI CHA BIFU NA RUGE)
iLipofika mwaka 2010 akagombea ubunge..
 
Umeshaita wazungu hapo hskuna kitu walipita kujibanza pale hotelini unatulitea mauza uza ya stori!
Tupate quantities zinazohitajika, bei zake CIF Instanbul, vipimo vya ubora, lini maharage yanahitajika.
Sugu hana jibu lolote kati ya vigezo tajwa.
Huyu jamaa kaigia ghetto za wasela wenzake Instanbul.
Ukiniambia walikuwa wanajadiliana namna ya kusafirisha misokoto, labda.
 
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki

View attachment 2938598

Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia

View attachment 2938599

Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .

Sugu Mkombozi wa wakulima
Hongera sana sugu

Let’s hope by March 2025 mtatupa updates mmeshauza nje mzigo kiasi gani
 
Sugu alipomaliza Advance akaanza mziki..
Na hizi ndo album zake..

  • Ni Mimi (1995)
  • Ndani ya Bongo (1996)
  • Niite Mister II (1998)
  • Nje ya Bongo (1999)
  • Millennium (2000)
  • Muziki na Maisha (2001)
  • Itikadi (2002)
  • Sugu (2004)
  • Coming of Age-Ujio Wa Umri (2006)
  • VETO (2009)
  • Antivirus Mixtapes (HII ILIKUWA KIPINDI CHA BIFU NA RUGE)
iLipofika mwaka 2010 akagombea ubunge..
Advance amesoma mwaka gani wewe? . Waliofika mpaka Kidato cha sita ni kina Prof J, Solo thang na baadhi yao.
 
Back
Top Bottom