johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,026
Hakuna namna Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini anaweza kumshinda Mbunge wa sasa ambaye pia ni Spika wa Bunge la JMT na Rais wa Mabunge yote Duniani.
Kama Taifa hatuwezi kukubali kupoteza nafasi ya kuwa na Rais wa Mabunge ya Dunia.
Hivyo nashauri Msanii wa kizazi kipya akubali ushauri aliopewa kutoka juu kama tetesi zinavyosema kwamba akajaribu Makete Njombe au Ubungo DSM na kama kura hazitatosha atatunukiwa uDC kwa Upendo wa mama.
Sugu Moto Chini Usiwe mbishi Wenzako Joshua, Lijualikali na Mtatiro maisha wameyarahisisha jaribu kuiga mfano.
Kama Taifa hatuwezi kukubali kupoteza nafasi ya kuwa na Rais wa Mabunge ya Dunia.
Hivyo nashauri Msanii wa kizazi kipya akubali ushauri aliopewa kutoka juu kama tetesi zinavyosema kwamba akajaribu Makete Njombe au Ubungo DSM na kama kura hazitatosha atatunukiwa uDC kwa Upendo wa mama.
Sugu Moto Chini Usiwe mbishi Wenzako Joshua, Lijualikali na Mtatiro maisha wameyarahisisha jaribu kuiga mfano.