Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,757
- 46,401
Bashiri ndo alifukuzwa...then serikali ya mpito...alaf tena Jeshi....Tusubirie Guinea nako
Kumbuka Omar Al Bashir alikuwa mjeda na alipindua serikali ya Sadiq Al Mahdi
Yaani hapo Jeshi linalipa fadhila kwa mjeda mwenzao
Wanajeshi wanajuana sana labda kama wakishindwa kukubaliana kwa mambo kadhaa ila wanabebana sana