Mkuu.Waache waje tusaidie kujenga Taifa lao kwani ni ndugu zetu, Sudan ya Kaskazini hawana msaada wowote kwao. Wanahitaji uzoefu wetu
Mkuu.
Wa Kaskazini wakitaka kujiunga EAC tutawakataa? wao si ndugu zetu?
Nyerere, Nkurumah,Gaddaffi anataka Afrika yote iungane.
Mkuu.
Wa Kaskazini wakitaka kujiunga EAC tutawakataa? wao si ndugu zetu?
Nyerere, Nkurumah,Gaddaffi anataka Afrika yote iungane.
Dhambi ya ubaguzi...vipi hawa wa kaskazini wanakuwa ndugu zangu mimi na si ndugu zako pia?Wa Kusini wamelazimika kukimbia, hata wale wa Darfur pia wakipata upenyo watakimbia fasta. Hao ndugu zako wa Kaskazini ni moto wa kuotea mbali, hawajui kuheshimu wala kuthamini maisha ya wengine. Usifikirie kabisa kuwaleta EAC.