Suala la umeme naaamini Tanzania tunahujumiwa

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,698
40,967
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.

Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya Misri,South Africa na Nigeria lakini bado tupo nyuma.

Hapa tulipo kiuchumi sio sehemu yetu tunapaswa kuwa mbali zaidi.

Tutafikia huko tukiwa na umeme wa uhakika,

Ili tuzalishe.

Huwa najiuliza Taifa Kama Marekani linatafuta nini kwenye sekta yetu ya nishati.

Huwa wanapambana sana kuhakikisha makampuni yao yanafanya kazi katika sekta hiyo.

Ninaamini kabisa tunahujumiwa na mataifa fulani ili tusipate maendeleo.

Maana uhakika wa nishati ndio ukuaji wa uchumi.
 
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.

Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya Misri,South Africa na Nigeria lakini bado tupo nyuma.

Hapa tulipo kiuchumi sio sehemu yetu tunapaswa kuwa mbali zaidi.

Tutafikia huko tukiwa na umeme wa uhakika,

Ili tuzalishe.

Huwa najiuliza Taifa Kama Marekani linatafuta nini kwenye sekta yetu ya nishati.

Huwa wanapambana sana kuhakikisha makampuni yao yanafanya kazi katika sekta hiyo.

Ninaamini kabisa tunahujumiwa na mataifa fulani ili tusipate maendeleo.

Maana uhakika wa nishati ndio ukuaji wa uchumi.
Kwa hiyo viongozi wetu wamekubali tuhujumiwe.
 
Maji yapo ya kutosha kuzalisha umeme usio katika hata siku moja. Nimetembelea mto Mnyera na Mto Ruhuji ambayo yote miwili inaingiza maji yake mto Kilombero, ina maji mengi mno na ukizingatia ni wakati wa kiangazi.

Hapa nilitaka kusapoti hoja yako kuwa tunahujumiwa. Hao wanaosingizia kuna ukame ndiyo maana umeme unakatika, wana ajenda zao binafsi. Halafu nashangaa eti bwawa la mtera ndiyo hutolewa mfano eti maji yamepungua.

Jamani, maji tunayo mengi sana, tunachotakiwa ni kutunza vyanzo vya maji husika visiharibiwe na shughuli za kilimo, ufungaji, na makazi ya binadamu
 
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.

Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya Misri,South Africa na Nigeria lakini bado tupo nyuma.

Hapa tulipo kiuchumi sio sehemu yetu tunapaswa kuwa mbali zaidi.

Tutafikia huko tukiwa na umeme wa uhakika,

Ili tuzalishe.

Huwa najiuliza Taifa Kama Marekani linatafuta nini kwenye sekta yetu ya nishati.

Huwa wanapambana sana kuhakikisha makampuni yao yanafanya kazi katika sekta hiyo.

Ninaamini kabisa tunahujumiwa na mataifa fulani ili tusipate maendeleo.

Maana uhakika wa nishati ndio ukuaji wa uchumi.
Wahujumu wa umeme Tanzania ni MACHADEMA na viongoz wao!! MACHADEMA ndio wanalirudisha nyuma Taifa la bongo kwa mikakat mibovu ya utawala wao!! MACHADEMA yalaaniwe!!
 
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.

Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya Misri,South Africa na Nigeria lakini bado tupo nyuma.

Hapa tulipo kiuchumi sio sehemu yetu tunapaswa kuwa mbali zaidi.

Tutafikia huko tukiwa na umeme wa uhakika,

Ili tuzalishe.

Huwa najiuliza Taifa Kama Marekani linatafuta nini kwenye sekta yetu ya nishati.

Huwa wanapambana sana kuhakikisha makampuni yao yanafanya kazi katika sekta hiyo.

Ninaamini kabisa tunahujumiwa na mataifa fulani ili tusipate maendeleo.

Maana uhakika wa nishati ndio ukuaji wa uchumi.
Unawaza tu au ndiyo uhalisia?
 
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.

Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya Misri,South Africa na Nigeria lakini bado tupo nyuma.

Hapa tulipo kiuchumi sio sehemu yetu tunapaswa kuwa mbali zaidi.

Tutafikia huko tukiwa na umeme wa uhakika,

Ili tuzalishe.

Huwa najiuliza Taifa Kama Marekani linatafuta nini kwenye sekta yetu ya nishati.

Huwa wanapambana sana kuhakikisha makampuni yao yanafanya kazi katika sekta hiyo.

Ninaamini kabisa tunahujumiwa na mataifa fulani ili tusipate maendeleo.

Maana uhakika wa nishati ndio ukuaji wa uchumi.
Ni kampuni zipi za kigeni zenye majukumu katika mfumo wetu na nishati,na wanaoweza kutuhujumu?
 
Maji yapo ya kutosha kuzalisha umeme usio katika hata siku moja. Nimetembelea mto Mnyera na Mto Ruhuji ambayo yote miwili inaingiza maji yake mto Kilombero, ina maji mengi mno na ukizingatia ni wakati wa kiangazi.

Hapa nilitaka kusapoti hoja yako kuwa tunahujumiwa. Hao wanaosingizia kuna ukame ndiyo maana umeme unakatika, wana ajenda zao binafsi. Halafu nashangaa eti bwawa la mtera ndiyo hutolewa mfano eti maji yamepungua.

Jamani, maji tunayo mengi sana, tunachotakiwa ni kutunza vyanzo vya maji husika visiharibiwe na shughuli za kilimo, ufungaji, na makazi ya binadamu
Kulikuwa na mipango ya ujenzi wa Ruhuji na Rumakali hydrostation .
 
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.

Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya Misri,South Africa na Nigeria lakini bado tupo nyuma.

Hapa tulipo kiuchumi sio sehemu yetu tunapaswa kuwa mbali zaidi.

Tutafikia huko tukiwa na umeme wa uhakika,

Ili tuzalishe.

Huwa najiuliza Taifa Kama Marekani linatafuta nini kwenye sekta yetu ya nishati.

Huwa wanapambana sana kuhakikisha makampuni yao yanafanya kazi katika sekta hiyo.

Ninaamini kabisa tunahujumiwa na mataifa fulani ili tusipate maendeleo.

Maana uhakika wa nishati ndio ukuaji wa uchumi.
jaribu kupitia hii uone kwa nini:
https://www.trtworld.com/magazine/h...eaking-havoc-in-developing-countries-14932557
 
Ni kweli tunahujumiwa sana kupitia viongozi ambao si wahaminifu

Kama yule singasinga wa IPTL
 
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.

Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya Misri,South Africa na Nigeria lakini bado tupo nyuma.

Hapa tulipo kiuchumi sio sehemu yetu tunapaswa kuwa mbali zaidi.

Tutafikia huko tukiwa na umeme wa uhakika,

Ili tuzalishe.

Huwa najiuliza Taifa Kama Marekani linatafuta nini kwenye sekta yetu ya nishati.

Huwa wanapambana sana kuhakikisha makampuni yao yanafanya kazi katika sekta hiyo.

Ninaamini kabisa tunahujumiwa na mataifa fulani ili tusipate maendeleo.

Maana uhakika wa nishati ndio ukuaji wa uchumi.
Hujuma zipo, bila shaka.

Mapapai yakitomaswa tamasha hayachelewi kuvunda.

Uvundo wote uuonao tanesco na dawasa ni wa rundo la mapapai yanayochacha.
 
Maji yapo ya kutosha kuzalisha umeme usio katika hata siku moja. Nimetembelea mto Mnyera na Mto Ruhuji ambayo yote miwili inaingiza maji yake mto Kilombero, ina maji mengi mno na ukizingatia ni wakati wa kiangazi.

Hapa nilitaka kusapoti hoja yako kuwa tunahujumiwa. Hao wanaosingizia kuna ukame ndiyo maana umeme unakatika, wana ajenda zao binafsi. Halafu nashangaa eti bwawa la mtera ndiyo hutolewa mfano eti maji yamepungua.

Jamani, maji tunayo mengi sana, tunachotakiwa ni kutunza vyanzo vya maji husika visiharibiwe na shughuli za kilimo, ufungaji, na makazi ya binadamu
Kuna ripoti inasema almost 40% ya umeme unaozalishwa unapotea njiani kabla ya kuwafikia walaji.

Ukiachana na hujuma bado kuna uchakavu wa miundombinu ya kufikisha umeme.
 
DP imeshapakuliwa watu wanakula sasa.
Raia wamepiga mayowe chakula kinaungua lakin wapishi hawakujali hadi raia mwema kawa kimya.

Umeme ndio upo jikoni na kuni ndio zinazidi kuagizwa.
 
Kuna ripoti inasema almost 40% ya umeme unaozalishwa unapotea njiani kabla ya kuwafikia walaji.

Ukiachana na hujuma bado kuna uchakavu wa miundombinu ya kufikisha umeme.
Sasa kama changamoto inajilikana kwa nini isitatuliwe. Kama viongozi wamezikubali hizi hujuma sisi wananchi tufanyeje!
 
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.

Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya Misri,South Africa na Nigeria lakini bado tupo nyuma.

Hapa tulipo kiuchumi sio sehemu yetu tunapaswa kuwa mbali zaidi.

Tutafikia huko tukiwa na umeme wa uhakika,

Ili tuzalishe.

Huwa najiuliza Taifa Kama Marekani linatafuta nini kwenye sekta yetu ya nishati.

Huwa wanapambana sana kuhakikisha makampuni yao yanafanya kazi katika sekta hiyo.

Ninaamini kabisa tunahujumiwa na mataifa fulani ili tusipate maendeleo.

Maana uhakika wa nishati ndio ukuaji wa uchumi.
Mkuu akili zetu kisoda hazitusaidii. Kama haya unayosema ni kweli na usalama kutwa wapo kuchunguza wapinzani kuna haja gani ya kulaumu wageni. Tujilaumu wenyewe maana tunajihujumu wenyewe
 
Back
Top Bottom