Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,548
- 2,571
Nilishaanza kuuguua na Mimi baada ya kuikosa ila nashukuru tiba nimeiona....
Thanks to you love money Penny
Kumbe tupo wengi?
Njoo tuuguzane basi my dear.
Nilishaanza kuuguua na Mimi baada ya kuikosa ila nashukuru tiba nimeiona....
Thanks to you love money Penny
Pole jaman nakujaaaNilishaanza kuuguua na Mimi baada ya kuikosa ila nashukuru tiba nimeiona....
Thanks to you love money Penny
NakujaaaTunasubirii
NakujaaaIjumaa kuu ndo hii Money Penny
Numbisa
lara 1
Valentina
SIDECHIC MANAKE NI MCHEPUKO/NYUMBA NDOGO/KIPIMA JOTO/ MSAADA TUTANI/ SPEA TIRE/ ETC ETC ETC
MAIN CHIC MANAKE NI MKE/ MPANGO MZIMA/ MAMA LA MAMA ETC ETC
Nimewaletea mrejesho mliokuwa mnausubiri kwa miezi 3
CHAPTER 1: SIDE CHIC AND PROUD
Hi Hoe:
Karibuni karibuni sana wapendwa wangu kwenye kikundi chetu, karibuni wapiganaji, tutiane moyo
Sisi sio malaya sisi tunasaidia jamii idumu naku survice vema
Sisi sio Malaya, sisi ni customer service representative, kazi yetu ni kutumikia wateja na sio vinginevyo
Hata kama dunia haituelewi lakini sisi tunajielewa tunaongea lugha moja, shoooo! Hata Mungu anatuelewa kwaiyo ni Mungu mwenyewe atatuhukumu, vinginevyo Mungu yupo impressed na kazi zetu
Kelis: preeeeach sister, preeeeach
Irene: amen sister amen
Khadija: word word!
So niambieni changamoto mnazokutana nazo huko kwa wateja tuanze kuwekana sawa
Nani ataanza kuelezea
Wote kimyaaa
Basi me naanza kuongea alafu mtafuata na nyie
Hi Hoe:
Mimi ndio boss wenu, nimekaa kwenye hii kampuni ya side chic kwa muda wa miaka 15, naijua hii field vibaya mno, hata CV yangu ninayo ya kuwahudumia wateja wakubwa wa kubwa sio hawa vidagaa
Nimeanza hii kazi nikiwa na miaka 15, hapa hapa Daslam
Nimetembea na watu wote unaowajua maarufu
Nimetembea na vibopa wooote
Nimetembea na makonda wa daladala, madereva wa waheshimiwa, madereva wa magari ya mikoani
Madereva wa maji taka na maji safi
Kondakta wa daladala
Waume za watu ndio usiseme
Ma pilot wa ndege, cabin crews, waandishi wa habari, madaktari wa aina zote, wa kichwa, watoto, mifupa, meno, neurosurgery, wakina mama, shooo! you name it
Daslam najulikana kama Hihoe ila home wananiita Meow!
Kwahiyo muwe huru kuongea hapa mimi nina PHD ya kuwa side chic wala msiogope
Nina connections kibao africa, asia, europe, nyie tu labda mnatakaje kufanya kazi na mimi kama una maswali nikaribishe muulizd
Khadija: hi me naitwa Khajida
Hihoe na wenzie: hi Khadija
Khadija: madam me nina swali, nina miaka 25, mpaka sasa hii naongea nimelala na wanaume 10 tu
Hihoe: 10 sio wengi my dia, mimi nimelala na zaidi ya elfu 1
Khadija: so hii sekta mimi niseme bado ni bikra sijui kitu, tuelezee hii sekta yako tunatakiwa kufanyaje kazi?!
Hihoe:
Well huku mtakutana na wanaume wa aina tofauti tofauti, weupe weusi zeruzeru, waliojichubua, weusi kama mkaa, wakubwa, wadogo, wenye madushe, wenye vibamia, wanene, wembamba, warefu wafupi
Wateja wengine wakorofi, wengine wana huruma na hofu ya Mungu, wengine washenzi, inabidi tu uwe mpole kama mhudumiaji
Usipolipwa hela baada ya mchezo poaaa
Ukilipwa poaaa ila wao wakija wananilipa mimi hela ndio nakuita umhudumie
Sasa nataka kila mtu aandike hela anayotakiwa kulipwa kwa kila huduma anayotoa, we taja kima cha juu na cha chini me nipo hapa kuwasaidia mjaze hizo form baadae mnirudishie
Kelis: hata wa mil 10 wapo?! Mil 5 mil 3 wapo?! So wewe ndio utakuwa meneja wetu sio
Je kupigwa?! Maana naskia wengine wanawapiga watu kama sisi
Hi hoe: mil 10 bado hatujafika, ila mil 5 inawezekana tu so mjaze hapo kwenye no 3 kiasi gani mnataka mlipwe dau ndogo na kubwa
Kuhusu kupigwa hilo nalifanyia kazi ila jitahidi msiwaboe wateja sawa?!
Ulinzi hapa kwenye nyumba yangu upo mkubwa tuu ila sasa kama amekuita hotelini ndio hapo nitashindwa ku guarantee usalama wako ila naandaa ma body guard niwalipe waje wawasibirie ndio najipanga hapa
Irene: je kuna pesa ya kila tendo au matendo yote pesa moja
Namaanisha
1. Tukitumia condom wanalipa ndani
2. Akinipa mechi ya mbele hela ngapi?!
3. Akini poke kwa nyuma ananipa pesa ngap?!
4. Blow job je bei gan
Hi hoe: oh thank you love
Unajua hii kazi ukiashaianza inabidi ujitoe mhanga kuwa wewe ndio basi tena kwahiyo hata ukipigwa cha masikio au pua kubali tu. Si umeshajitoa mhanga kama Yesu alivyoangikwa msalabani?! So kubali yote
Hawa wanaume wengi wanaokuja wameoa ni waume za watu, wana stress zao za familia, kazi, mke, mama mkwe, watoto wakija kwako usianzishe maswali mpe tu raha atafunguka mwenyewe
Kwa mapenzi yake na akifunguka sio kumgaaanda skunyingine akija mpotezee kwa maongezi yaliopita unless labda kama amekuambia tena ndio uongee jaribuni kuwa na maneno machache au usiwe na maneno kabisaa
Wanaume wote lazima wanatumia kinga ila kama ni mshenzi ndio atakeambia anataka kavu usikubali mpaka mkapime maana haumjui na haya ni maisha yako
Mkishapima mkakuta ni swafi haya well and good
Ila mkitumia condom wanalipa mwisho mil 1
Bila condom hata mil 2 - 3 unapewa
Mechi za mbele hata laki 5 unapata
Bomba la mgongo wanalipa mpaka mil 5 wengine sio wote lakini
Kelis: samahani hizo hela unapewa wewr alafu sisi unatulipaje labda?!
Hihoe: wakinipa mil 5 naweka bank, nyie mnachukua asilimia40 ya kwenu asilimia 60 yangu
Namaanishaje kuwa nikipewa hela naenda kuandaa hotel, usafiri wa huyo client, kuwanunulia nyie vifaaa kama nguo, instruments za game, kuwapeleka seminar na kumwita kungwi awafundishe etc etc
Mkiumwa me ndo nawalipia, nawakatia insurance ya afya, mambo mengi tu nawafanyia kuwalipa ma body guard wawalinde sio mambo ya kitoto. Kuwasafirisha kwenda ulaya kwenye ma strip club kujifunza you know
Kelis: ah sasa nimeelewa na tutajuaje kama mteja amelipa pesa ngapi je ukidanganya umelipwa laki 2 kumbe umepewa mil 5?! Tunajuaje labda
Hi hoe: mteja akija tunajaza form kabisaa na mteja namwonyesha picha zenu na nini, akimchagua mmoja wenu namwita waje waonane aone na form alivyojaza na hela alafu baadse mnakutana nae kwenye hotels
Kelis: ok nimeelewa
Irene: je kuna pension zozote unatukatia maana hii ni ajira tayari
Hihoe: mnataka mkatiwe na pension, haya basi nitawakatia ila itabidi tuandikiane mkataba wa miaka 2 max sipendi kumbana mtu saana nataka uwe huru
Na huo mkataba ukisaini hamna kuchomoka mpaka uishe
Usipoandikisha mkataba ina maana sikukatii pension, sawa?! Ina maana muda wowote naweza kutemana na wewe nikachukua chombo kipya
Nawashauri mkae kwenye mkataba maana benefits zengine za kusafir nje lazima nionyeshe mkataba kwenye visa kuwa huyu ni mfanyakazi wangu kama hauna mkataba itakuwa ngumu
Wote: ahaaa tumeelewa
Khadija: kwaiyo unao madada wa ngapi mpaka sasa au ndio sisi 4 tu?!
Unaweza kutupa mfano wa wadada ambao walifanya kazi na wewe maisha yao wapo wapi?! Kuna wenye watoto, wenye ndoa ee maana we umekaa kwenye hili game kwa muda sasa utakuwa unajua mengi
Je kama tukipata bwana akataka kukuoa ukiwa ndani ya mkataba itakuwaje sasa?!
Hi hoe;
Nina wafanyakazi 24 pamoja na nyie
Ila wengine wanakuja kwa siku zao kuonana na mimi kama mlivyo nyie
Ukipata bwana ukaolewa nakuchomoa kwenye contract, ndivyo mkataba unavyosema
Ukipata mtoto na haukuolewa na bado ukawa unataka kuendelea na kazi basi me sina neno na hilo, wapo wadada 3 wanawaleta watoto hapa wanalelewa na dada wa kazi nimewaajiri alafu wakirudi kazini asbh wanakuta watoto wao wameangaliwa vzuri
Wapo walioolewa wapo waliopata watoto, wapo waliozaa tuu hawataki kuolewa.kifupi ni kwamba kuolewa au mtoto isikufanye maisha yako yakasimama
Hata ukimpata mtu amekuoa na unataka kuendelea na kazi kea siri me nakukaribisha ila kwenye mkataba sikubani saaana
Kuna walioolewa na wazungu, wapo ulaya huko wanamaisha na ndoa zao zina miaka 5 wengine 7 wengine 8.. wapo kama 10 ni marafikizangu wengine watakuja kuwafundisha
Khadija: sasa kwa akina sisi ambao hatujui english na mzungu namtaka alafu hajui kiswahili itakuwaje?!
Hihoe: nitawafundisha hapa hapa ukikaa sawa ndio nakuingiza kazini kabla ya hapo wala siwezi kukuaibisha ila uking'ang'ania basi nakuweka ukakome mbele hehe
Maana ahadi nyingi za wanaume zinatoka kwenye mechi, sasa ukuambiwa i will buy you a house na haujui anaongea nini, utafaidika nini
Wote wakacheka
Irene: hizi hela tunalipwa baada ya mechi sio au unatuweka benki?!
Hihoe: vyovyote unavyotaka mpenz me nitakupa cash au niweke bank nyie tu
Kelis: hizo trip za ulaya vepee?! Like tunaenda kwa mwaka mara ngap?!
Tunaenda kupumzika au na ni nchi gani tunazoenda
Hi hoe: kabla sijaongelea safari labda niwaambie hivi
Ukifanya kazi kwa bidii na clients wako wakakupenda kila mara wanakutaka wewe, ina maana mwisho wa mwaka nakugaia bonus kuuubwa kama zawadi, inaweza ikawa kiwanja, nyumba, hela, etc etc
Well kwa mwaka tunasafiri mara 2, inategemea na biashara ilivyoenda kwa nusu mwaka au mwaka mzima
Biashara ikiwa mbaya hatutokei nje ya tz ikiwa nzuri tunatoka tu
Khadija: sasa tutajuaje kama biashara imekuwa mbaya au nzuri wakati wewe umeshikilia mpini na makali
Hi hoe: mteja akijaza form nakupa copy so hizo kopi mzitunze, Yaani kila baada ya miezi 3 nakuita unakuja tunajua umepata hela ngapi, umetengeneza clients wangapi, etc etc so mjitahidi kwenye kutoa huduma mchangamkee, mue wabunifuuu pia mnaweza kutuelezea ubunifu wako hapa na matatizo unayopata hapa hapa kwenye kikao, sisi ni familia tunasaidiana
Kuna kufumaniwa jamaa so tutawafundisha jinsi ya kukwepa fumanizi ukaondoka bila kuchubuliwa au kupigwa au kuwekwa ilemavu au kulala ndani
Msikubali kukamatwa kiboya boya, sawa ee lazima muwe wajanga
Wote: sawa madam
Basi mjaze hizo form me nipo hapa nawasimamia, mkimaliza tuangalie hii video nianze darasa
Wakawa buzy wanajaza form zao za miakata ya kazi, kweli u side chic ni noumer!
MAIN CHICS:
Amberose: karibuni jaman, karibuni sana leo tukae hapo kwenye maua, huju ndani kuna joto karibuni mkae hapa, we nanihii peter embu ongeza viti 2 hapa haraka
Karibuni jaman akina mama karibuni mkae
Kikao kikaanza si unajua tena vile vikao vyetu vya vikundi vya akina mama, wakasalimiana pale na kuongea mambo yao ya kikundi walipokaribia kumaliza mmoja akatingisha dish
Tamia: watoto hawajambo Amberose?!
Amberose: hawajambo wapo boarding, nimewapeleka boarding St. Francis girls ndio wapo form 4 sasa
Tamia: oh safi sana watafaulu vizuri sana
Amberose: yah namwamini Mungu anawasaidia sana, vipi Amina au Mina maana kila siku inabadilisha majina,
Mina: ah me naitwa mina bwana hili amina hata sijui kwanini silipendi
Amberose: ok watoto hawajambo?!
Mina: hawajambo wanasoma hapo Almuntazir wamenaza last week mmoja grade 1 mwengine nursery
Amberose: that's nice
Vipi Tamia any luck na kupata mtoto?!
Tamia: yani we acha tu nimefanya kiila kitu lakini wapi, sasa sijui nafanyaje, na ndoa ya miaka 5 mama mkwe ana maneno kweli ananipigia keleee utadhani me ndo natoa watoto nimeichoka ile nyumba me akija naendaga kulala hotelini, si unajua mama wakwe wa kihaya walivyo, ni sheedah hapa alikuwa hataki mwanae anioe mie mkabila
Amberose: kwani wewr kabila gan
Tamia: me mmeru my dia
Mina: ndio maana mzuri nilikuwa najiuliza wahaya wanakuwaje wazuri namna hii?!
Wakacheka
Tamia: ndo ivyo my dias, nahangaika sana kupata watoto, ila Mungu atanipa tu naamini
Wote: amen.
Amberose: ina maana mume hajazaa nje kwelu miaka 5 ni mingi haujawahi kumfuma hata na mchepuko wowote?!
Mina: ah we Amber na wewe mbea embu mwache mama wa watu
Tamia: hamna bwana Mina, me sijui hata sijafuatilia na wala sitashangaa akiwa na watoto nje
Amberose: msema kweli mpenz wa Mungu unisamehe Tamia kama nakosea kukwambia, juzi kati nimetoka na mume tumeenda date night mara namwona mumeo amekaa kwenye kona na demu m1 nikashtuka alikuwa hajaniona nikamwambia mume unamwona mume wa Tamia yule pale tuondoke hapa buana me staki ushahidi
Tamia: huyo dada ulimjua ni nani kwa kumwangalia
Amberose: hapana asee ilikuwa giza tukaondoka zetu sikutaka matatizo, uwe mwangalifu my love, usikute mumeo ndio mwenye matatizo wanataka kuku frustrate buree sio vzuri
Tamia: ah tuachane na hayo bwana asante kwa kuniambia
Vipi Mina mumeo hajambo?! Yeye hakitembezi?!
Mina: mmh mume wangu hanaga hayo mambo namwaminia asilimia 100
Amberose: che! Unamwekea mwanaume asilimia zote izo kwanini labda?!
Mina: namwamini sana mume wangu anakuja hm saa 12 jioni yupo na watoto
Tamia: aisee, ivi anafanya kazi gani
Mina: ni mfanya biashara tu kazi hizi za kilimo, kuuzia wachuuzi analeta mchele toka morogoro, mbeya, mahindi, maharage toka moshi, tanga, anauza ndivyo tunavyoishi na mie nipo hapo benk NMB basi maisha yanaenda
Tamia: that's great hongera sana, jaman me naondoka naenda home nikampikie mume leo dada wa kazi yupo off haya kwaherini, akaondoka na Mina nae akaondoka
Alipofika njiani akampandia hewani Amberose, shoga umemsikia rafkiako Mina alivyo bwege?!
Amberose: yani huyu ni kaizi mbatata, anavyomsifia Sande wake utadhani Sande malaika wakati si tunamjua sande kitombi wa kufa mtu, mpare tena? Uuuwi alafu nimeileta ile stori ya mumeo makusudi, yeye ndio alikuwa na mumeo skuile nimewakuta hotelini wamejibanza
Tamia: kumbe ndio yeye mshenzi kabisa ngoja nikamkomesha next time mpaka ataniomba msamaha kwa kutambaa kwa tumbo
Amberose: skunyingine tunamsuta pale pale na kumdunda shenzi kabisa
Hili grup linatakiwa liongezeke maana nahisi linaboa sasa
Tamia: haya nitaleta mtu m1 next time tupate challenges kidogo. Haya g9t love asante sana
Simu ikakatwa
Amberose: du usilolijua ni kama usiku wa giza Mina angejua me natembea na mumewe Sande wala asingejishaua namna hii. Akampandia hewani
Mina mamaa nimeona kuwa next time tukionana ulete mtu mmoja tuwe na kikundi hata cha watu 5-7 mwisho sawa ee?!
Mina: sawa mami, nitaleta, wasalimie wote kwako asante kwa host ya leo
Amberose: asante na karibu tena
Simu ikakatwa
Mina: zoba kweli hili Amber angejua me ndio msaidizi wa mumewe asingeongea. Stupid!
TUONANE SAA 3 Nanusu USIKU
Duu kunawatu waajabu ajabu kama Bashite yaani una quite mpost tena wazaman unaandika kasentes kamoja nyambafu kabisa muwe wastaalabu buanaWewe mtu sikuweziiii kabisaa dah
Hahaha Money Penny on fleek!Wewe mtu sikuweziiii kabisaa dah
Du!Duu kunawatu waajabu ajabu kama Bashite yaani una quite mpost tena wazaman unaandika kasentes kamoja nyambafu kabisa muwe wastaalabu buana
Kwa kweli hyo inakuhusu kwa sana ili tiba ifanye kaziKumbe tupo wengi?
Njoo tuuguzane basi my dear.
Kwa kweli hyo inakuhusu kwa sana ili tiba ifanye kazi
Here I am sir!Be my Nurse basiiiiii
ahahaha ni sheedah!Muhaya kavuta k2
Ahsante, mpaka nimehisi nakunywa glass ya wine
tisha sana veve!Ahsante, mpaka nimehisi nakunywa glass ya wine
Nakuja nakujaaanasubiria money penny