habari ndiyo hiyo!
Nguli ,hivi hujui JF ni intaneshnowaizi? Ipo kila mahali.Hao nao ni member labda wabebamaboksi.Huyu mwanaume wa mbele pengine ni Masanilo.hawa wazungu ni member wa jf? If no pm zinawahusuje?
Nguli ,hivi hujui JF ni intaneshnowaizi? Ipo kila mahali.Hao nao ni member labda wabebamaboksi.Huyu mwanaume wa mbele pengine ni Masanilo. [QUOTE]
Imenifurahisha sana...
Lakini hawa wanaotukanwa kwa PM mbona hawazitoi hapa tukaziona, wanaoza nazo rohoni tu?
Journal Pape..umetukanwa na nani...Usije ukawa unaogoa kivuli chako!
hawa wazungu ni member wa jf? If no pm zinawahusuje?
Hahahahahaa,Asante sana kwa kudhibitisha hilo!Huyo aliebeba bango la acheni Matusi JF ndo Masanilo huyo. LOL
hahahahahaha!Nguli ,hivi hujui JF ni intaneshnowaizi? Ipo kila mahali.Hao nao ni member labda wabebamaboksi.Huyu mwanaume wa mbele pengine ni Masanilo. [QUOTE]
Imenifurahisha sana...
Lakini hawa wanaotukanwa kwa PM mbona hawazitoi hapa tukaziona, wanaoza nazo rohoni tu?
Journal Pape..umetukanwa na nani...Usije ukawa unaogoa kivuli chako!
Nguli ,hivi hujui JF ni intaneshnowaizi? Ipo kila mahali.Hao nao ni member labda wabebamaboksi.Huyu mwanaume wa mbele pengine ni Masanilo.
Masanilo I like your avatar!
Nikiiangalia nabaki kucheka tu!