Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,846
- 6,439
My Uncle Mzee Wassira Nakuomba KUBALI Tu MATOKEO Na Sasa Ni Wakati Wa Wewe Kupumzika Kama Sasa Wazee Wenzio Wa Mkoani Mara Na Ubaki Tu Kuwa Mshauri Wa Chama Chetu Cha CCM. Tunahitaji Mno Mchango Kama Wanao Tunaochipukia Sasa Ktk Siasa Za Kidemokrasia Za Tanzania. Siamini Kama Kweli Umeonewa Uncle Ila Ukweli Ni Kwamba Mwanao Esther Bulaya ANAKUBALIKA KI SERA Na Ni Mzuri Sana Ktk Strategies Na Hata Umri Wake Pia Unamuwezesha Kujituma Vilivyo. Binafsi Nakuomba Usikatae Matokeo Bali Kubaliana Nayo Tu Pumzika, Wekeza Vizuri Sasa Kiuchumi Na Kimaisha Na Walee Wale Wajukuu Zetu Wazuri. Mimi Ni Mwana MARA Mwenzio Na Kwa Jinsi Watu Wa Mara TUNAVYOJIJUA Uncle Ni Kwamba Hata Ukate Rufaa Na Uchaguzi Urudiwe Upya Nina UHAKIKA Kwa Ninavyomjua Esther Bulaya Bado Wana Bunda Watamchagua Tu Yeye Na Usishangae Safari Hii Hata Kura Za Wewe Kushindwa Zikazidi Tu Kushuka Na Kura Za Esther Bulaya Za Ushindi Zikaongezeka. Zingatia Sana Huu Ushauri Wangu Uncle!
Acha tabia za kishoga za kujipendekeza..ungalikua Mombasa ungali wahi olewa mapema!