Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Juzi juzi alikuwa akisema eti hawatakuja kupata Rais bora km Jeikey
hizi ndizo IQ za masupaster wetu,hatareeee
hizi ndizo IQ za masupaster wetu,hatareeee
hawa bongo muvi ni miongoni mwa wanafiki kila uchao wansemaka serikali inawatupa kwa kutowasaidia kulinda kazi zao lakini haohao wanajiunga na ccm ambayo ndio inamiliki serikali inayo waburuza kwali nimeamini njaa mbaya sana.
ccm ni kazi tu, hapo hapo kijana akaanza kuunguruma...
mgeni rasmi akizindua shina lililopewa jina la steve nyerere....paul makonda at work
bongo movie huwa hawabaki nyuma, linapokuja tukio la ccm au la kitaifa wakamsindikiza kijana wao.
ndani ya mavazi matukufu ya ccm....ni raha sana na unajiamini.
silaa za ajadi hutumika katika kuwasimika makamanda wa ccm...
hawa bongo muvi ni miongoni mwa wanafiki kila uchao wansemaka serikali inawatupa kwa kutowasaidia kulinda kazi zao lakini haohao wanajiunga na ccm ambayo ndio inamiliki serikali inayo waburuza kwali nimeamini njaa mbaya sana.
Hongera sana do go hiki ndo chama makini na safi
Bado yule mtembea pekupeku kama mchawi
Back yule mtembea pekupeku was mchomoro namtumbo
JF Sio mahali pakutukana matusi bali pakujenga hoja za msingi kwa Taifa lakini wewe kwa sababu umeahidiwa buku 7 kwa kila tusi basi endelea. Unajifanya hujui kuwa wanasinii wengi hapa Tanzania wanailalamikia serikali ya ccm kuhusu kuto kufaidika na kazi zao za sanaa? pole ndugu.Acha ufala unataka wakamuunge nani sema basi mama yako watamfata tu ili urizike naona povu
Safi sana Nyerere kwa maamuzi ya busara uliyochukua. CCM oyeeeeeeeee