Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

And who says THIS is EVIL and THIS is NOT EVIL?= HUMAN MIND,
Why not say THIS is LIFE and that's how it was meant to be?

Life has always been a cyclical activity ,it doesn't stop at GOODNESS, it's a rotation that takes you from extreme pain to extreme pleasure ,the purpose is to learn and acquire wisdom, so PAIN isn't basically a bad thing ,it KNOCKS some sense in
I can equally say that even the concept of God is conceived by the human mind, so what's your point?

If your basis of questioning the validity of an idea is whether it was conceived by the human mind, then no concept is valid, including the existence of God.

Because there is nothing you can think of that is not conceived by the human mind.

This retort is self defeating. It also defeats any argument you can make without revoking it.
 
Ni ukweli mtupu mkuu. Kipindi nikiwa mdogo nilidanganywa mambo mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu na mahali anapoisha.

Ila baada ya kuanza kujitambua na kusoma vitabu mbalimbali ili nitambue ukweli kuhusu uwepo wa Mungu na mahali anapoishi.

Kwa asilimia 50% mpaka sasa nakiri kwamba hakuna Mungu wala mbingu bali kuna Mungu ambaye alitengenezwa na wazungu na kutumezesha kuhusu huyo Mungu.
Ukisema wazungu unakosea
Nadhani dhana ya Mungu ilikuja naturally kwa sababu ya jinsi gani binadamu tunatazama mambo au kufikiria

Tunapenda ku think by analogies, mifano
Kwasababu nimekua na kukuta Baba na mama wakinilea, kila nilichokihitaji niliwaomba walinipa basi hii mindset nai extend kwa ulimwengu mzima kwa kuamini kuna baba wa ulimwengu na sisi ni watoto wake

The reason majority wana amini katika dini ni kwa sababu ya hii comfort, kuna Mtu anayejali kuhusu maisha yetu,

In reality ulimwengu ni sehemu ya ajabu sana kwa kiumbe hai kama ukiufikiria kama ulivyo

Tupo tu by mere chance, hakuna reason ya binadam kuwepo kama ilivyokua kwa dinosaurs...

Na hii ndiyo dark side ya atheism, inakuonyesha uhalisia wa ulimwengu kuwa hauna maana yoyote

But katika hiki kipindi kidogo ulichonacho, kitumie to the fullest
Find your own meaning,it is more better kuishi maisha yanayokupendeza wewe kuliko kuishi maisha yako yote ukiamini kisichokuwepo just tu kinakupa comfort ya ku deal na changamoto ya maisha haswa hofu ya kifo
 
Fun Fact : Articles za Kiranga zimetengeneza 40% ya non believers na atheists wa JF
Means, katika watu 10 Jf, wa 4 ni atheists kwa ajiri ya Kiranga

Welcome to Atheism,hapa kila kitu kinaelezeka 😀

But, hakuna mbingu wala afterlife,ukifa ndo hutorudi tena milele 😖
Wema unaotenda duniani, hauna malipo yoyote, na baada ya vizazi na vizazi kupita hakuna atakayekukumbuka, hutorudi tenaa

Upo tayari?
Mkuu niko na hofu ya Mungu bado ila inabaki iman tu na sio facts
 
Unamaanisha hata uovu na udhalimu unaofanywa na baadhibbinadamu wakatili dhidi ya binadamu wenzao hauna malipo baada ya maisha haya pia?!
Fun Fact : Articles za Kiranga zimetengeneza 40% ya non believers na atheists wa JF
Means, katika watu 10 Jf, wa 4 ni atheists kwa ajiri ya Kiranga

Welcome to Atheism,hapa kila kitu kinaelezeka

But, hakuna mbingu wala afterlife,ukifa ndo hutorudi tena milele
Wema unaotenda duniani, hauna malipo yoyote, na baada ya vizazi na vizazi kupita hakuna atakayekukumbuka, hutorudi tenaa

Upo tayari?
 
science is strong yet it knows very little. For it seeks to understand FACTS but not the TRUTH, see how science struggles to deal with a virus (its pity, if the political world behind virus is not discrepant to known science behind it),
belief is strong (may be stronger) in its own form but its not enough to disclose the TRUTH about human existence, origin and the purpose,

believing/ following/ habituated/ perception/ divisive mind, is only one way or the other of seeking security to life,
i personally believe that TRUTH is a factor in time (not of time), as when one tries to seek it one can never find it,
we think Knowledge is power (yes it is to this delusional world) but the very thing put everyone behind time, leads to misunderstanding and conflicts between human beings. We know a lot yet we are not even close to being right!
 
I can equally say that even the concept of God is conceived by the human mind, so what's your point?

If your basis of questioning the validity of an idea is whether it was conceived by the human mind, then no concept is valid, including the existence of God.

Because there is nothing you can think of that is not conceived by the human mind.

This retort is self defeating. It also defeats any argument you can make without revoking it.
 
I can equally say that even the concept of God is conceived by the human mind, so what's your point?

If your basis of questioning the validity of an idea is whether it was conceived by the human mind, then no concept is valid, including the existence of God.

Because there is nothing you can think of that is not conceived by the human mind.

This retort is self defeating. It also defeats any argument you can make without revoking it.
Argument, and early advocates of this line of reasoning included Plato, Aristotle, and St. Thomas Aquinas. It's predicated on the assumption that every event must have a cause, and that cause in turn must have a cause, and on and on and on. Assuming there's no end to this regression of causes, this succession of events would be infinite. But an infinite series of causes and events doesn't make sense (a causal loop cannot exist, nor a causal chain of infinite length). There's got to be something — some kind of first cause — that is itself uncaused. This would require some kind of "unconditioned" or "supreme" being — which the philosophers call God.
 
anyone can insinuate, make statements about the concept of God (all mighty) like Hawking and others.. but the concept itself is embedded within a certain level of belief, to reach at that level is to be one step ahead of seeking the truth about it (ahead of someone who doesn't believe at all).

most important thing is to not be conclusive about it (existing or not) especially on general public or one can choose to be an absolute hypocrite.
 
This section needs additional citations for verification. (April 2021)
Main article: Nucleosynthesis
Only about 4% of the total mass of the universe is made of atoms or ions, and thus represented by chemical elements. This fraction is about 15% of the total matter, with the remainder of the matter (85%) being dark matter. The nature of dark matter is unknown, but it is not composed of atoms of chemical elements because it contains no protons, neutrons, or electrons. (The remaining non-matter part of the mass of the universe is composed of the even less well understood dark energy).
 
Mshenzi tu huyo na bora kafa akakutane na Sir God.Hivi binadam mbona wapuuzi kiasi hiki yaan tunashindwa kuuamini Mungu yupo hebu ww jiangalie tu kakuumba mwanaume na mwanamke je ni nature gan inayojua ulitakiwa kua na uume na uke ili mzaliane ????harafu puuzi moja linakufuru tu kisa limesha jamba kutoa gesi mwilini linasema Mungu hayupo.Mbona hahoji alie gundua cocacola .... kua hakuingundua bali ni nature iliitengeneza tu na ikajiweka kwenye chupa yenyewe hahaa
Ukitumia neno imani au kuamini tayari umetibua. Imani au kuamini ni kukubali kitu bila ushahidi. Mabo yote yanayohusu dini, uchawi, ushirikina, n.k. yanataka tukubali bila kuuliza maswali. Tuwe wakikristu au Waislamu tunatakiwa kuamini Mungu yupo. Ukiwa mkristu hasa hasa Mkatoliki ndiyo basi imani inataka yasiyowezekana ya utatu mtakatifu. sayansi na dini ni vitu viwili ambavyo ni vigumu kukaa pamoja, kama ilivyo mambo ya jadi na dini.

Sisi binadamu tuna kazi ngumu ya kuishi kwa unafiki. Unafiki wetu uko katika dini tuinayoiamini lakini wakati huo huo matendo yetu hayaendani na mahubiri ya dini. Dini mara nyingi tunaifanya kama pass time activity, ndiyo maana mambo yakishindikana wengi wanakimbilia nguvu za giza. Kwa mfano tunahubiri ubinadamu, na kusamehe, lakini alipofariki Magufuli kuna wengi walitupilia imani na dini zao mbali na kuanza kutoa matusi makubwa. Kwa hawa nadhani CHADEMA na siasa zao ni kubwa kuliko mahubiri ya dini na sheria za Mungu. Hao wenye mitusi, walimuona Mbowe zaidi ya Mungu ndiyo maana walikuwa tayari kukiuka imani zao na kuingia kwenye giza lilogubikwa na chuki hata kwa marehemu. Hawa wangepewa mwili wa Magufuli, naona wangeutia kitanzi hata kama wanajuwa amekufa. Hawa wasikudanganye wanamjuwa Mungu mwingine zaidi ya Mbowe.
 
Ukitumia neno imani au kuamini tayari umetibua. Imani au kuamini ni kukubali kitu bila ushahidi. Mabo yote yanayohusu dini, uchawi, ushirikina, n.k. yanataka tukubali bila kuuliza maswali. Tuwe wakikristu au Waislamu tunatakiwa kuamini Mungu yupo. Ukiwa mkristu hasa hasa Mkatoliki ndiyo basi imani inataka yasiyowezekana ya utatu mtakatifu. sayansi na dini ni vitu viwili ambavyo ni vigumu kukaa pamoja, kama ilivyo mambo ya jadi na dini.

Sisi binadamu tuna kazi ngumu ya kuishi kwa unafiki. Unafiki wetu uko katika dini tuinayoiamini lakini wakati huo huo matendo yetu hayaendani na mahubiri ya dini. Dini mara nyingi tunaifanya kama pass time activity, ndiyo maana mambo yakishindikana wengi wanakimbilia nguvu za giza. Kwa mfano tunahubiri ubinadamu, na kusamehe, lakini alipofariki Magufuli kuna wengi walitupilia imani na dini zao mbali na kuanza kutoa matusi makubwa. Kwa hawa nadhani CHADEMA na siasa zao ni kubwa kuliko mahubiri ya dini na sheria za Mungu. Hao wenye mitusi, walimuona Mbowe zaidi ya Mungu ndiyo maana walikuwa tayari kukiuka imani zao na kuingia kwenye giza lilogubikwa na chuki hata kwa marehemu. Hawa wangepewa mwili wa Magufuli, naona wangeutia kitanzi hata kama wanajuwa amekufa. Hawa wasikudanganye wanamjuwa Mungu mwingine zaidi ya Mbowe.
Ulipoingiza siasa ndio ukafeli hapo hapo! Hopeless
 
Sielewi hiyo hoja vipi ikuunge mkono.

Pili madai yako ni feki kwa sababu huwezi kudai kuwa kuwepo kwa barabara ya lami kunathibitisha kutokuwepo kwa mtu alotengeneza.

Itakuwa ni akili mbovu sana ambayo hata katoto kadogo kanaweza kukutia doa.

Yani uwepo wa athari ukanushe uwepo wa chanzo cha athari hiyo?

Uwepo wa simu unathibitisha aloitengeneza simu hiyo huwezi tumia hoja eti simu inathibitisha kutokuwepo kwa mtu kwa nini udai hivyo?

Hapo contradiction ni kwa akili yako finyu tu mfano wa anaejaribu kuyakimbia makallio yake yaliyoko mgongoni.
Logic yako ni kwamba kuwepo kwa kitu kuna mtu sliyekitengeza kitu hicho. Sawa twende na mfumo wako m1 wa uwepo wa cm

Simu ipo kwa sababu kuna mtu aloyeitengeneza simu. Nae mtengeza simu yupo kwa sababu alitengezwa/aliumbwa na Mungu. Je Mungu yupo kwa sababu alitengezwa/aliumbwa na nani?
 
Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe
By Brandon Specktor, Senior Writer | October 17, 2018 04:23pm ET

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

In a new book that was published posthumously, Stephen Hawking, who died in March, wrote that it is impossible for God to exist in our universe.


From his desk at Cambridge University and beyond, Stephen Hawking sent his mind spiraling into the deepest depths of black holes, radiating across the endless cosmos and swirling back billions of years to witness time's first breath. He viewed creation as a scientist, and when he was called to discuss creation's biggest puzzles — Where do we come from? What is our purpose? Are we alone? — he answered as a scientist, often to the chagrin of religious critics.

In Stephen Hawking's final book "Brief Answers to Big Questions," published Tuesday (Oct. 16) by Bantam Books, the professor begins a series of 10 intergalactic essays by addressing life's oldest and most religiously fraught question of all: Is there a God? [Big Bang to Civilization: 10 Amazing Origin Events]

Hawking's answer — compiled from decades of prior interviews, essays and speeches with the help of his family, colleagues and the Steven Hawking Estate — should come as no surprise to readers who have followed his work, er, religiously.

  • aHR0cDovL3d3dy5saXZlc2NpZW5jZS5jb20vaW1hZ2VzL2kvMDAwLzEwMi8yMTYvb3JpZ2luYWwvc3RlcGhlbi1oYXdraW5nLU9ORS1USU1FLVVTRS5qcGc=
Credit: Frederick M. Brown/Getty Images


"I think the universe was spontaneously created out of nothing, according to the laws of science," Hawking, who died in March, wrote. "If you accept, as I do, that the laws of nature are fixed, then it doesn't take long to ask: What role is there for God?"
In life, Hawking was a vocal champion of the Big Bang theory — the idea that the universe began by exploding suddenly out of an ultradense singularity smaller than an atom. From this speck emerged all the matter, energy and empty space that the universe would ever contain, and all that raw material evolved into the cosmos we perceive today by following a strict set of scientific laws. To Hawking and many like-minded scientists, the combined laws of gravity, relativity, quantum physics and a few other rules could explain everything that ever happened or ever will happen in our known universe.
"If you like, you can say the laws are the work of God, but that is more a definition of God than a proof of his existence," Hawking wrote.

With the universe running on a scientifically guided autopilot, the only role for an all-powerful deity might be setting the initial conditions of the universe so that those laws could take shape — a divine creator who caused the Big Bang to bang, then stepped back to behold His work.

"Did God create the quantum laws that allowed the Big Bang to occur?" Hawking wrote. "I have no desire to offend anyone of faith, but I think science has a more compelling explanation than a divine creator."
Hawking's explanation begins with quantum mechanics, which explains how subatomic particles behave. In quantum studies, it's common to see subatomic particles like protons and electrons seemingly appear out of nowhere, stick around for a while and then disappear again to a completely different location. Because the universe was once the size of a subatomic particle itself, it's plausible that it behaved similarly during the Big Bang, Hawking wrote.
"The universe itself, in all its mind-boggling vastness and complexity, could simply have popped into existence without violating the known laws of nature," he wrote.

That still doesn't explain away the possibility that God created that proton-size singularity, then flipped the quantum- mechanical switch that allowed it to pop. But Hawking says science has an explanation here, too. To illustrate, he points to the physics of black holes — collapsed stars that are so dense, nothing, including light, can escape their pull.
Black holes, like the universe before the Big Bang, condense into a singularity. In this ultra-packed point of mass, gravity is so strong that it distorts time as well as light and space. Simply put, in the depths of a black hole, time does not exist.

Because the universe also began as a singularity, time itself could not have existed before the Big Bang. Hawking's answer, then, to what happened before the Big Bang is, "there was no time before the Big Bang."

"We have finally found something that doesn’t have a cause, because there was no time for a cause to exist in," Hawking wrote. "For me this means that there is no possibility of a creator, because there is no time for a creator to have existed in."

This argument will do little to persuade theistic believers, but that was never Hawking's intent. As a scientist with a near-religious devotion to understanding the cosmos, Hawking sought to "know the mind of God" by learning everything he could about the self-sufficient universe around us. While his view of the universe might render a divine creator and the laws of nature incompatible, it still leaves ample space for faith, hope, wonder and, especially, gratitude.

"We have this one life to appreciate the grand design of the universe," Hawking concludes the first chapter of his final book, "and for that I am extremely grateful."
Originally published on Live Science.

cc James Comey
Pined
 
Back
Top Bottom