daud magigo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 979
- 423
Nchi ikiingia katika RUSHWA system yote huwa inaparanganyika,siyo serikali,bunge na mahakama wote chali.Hivi kwa nini Rais wetu hakuliongelea hili? BOT inajua taratibu sahihi za uchukuaji wa fedha kwa nini Gavana yupo kimya? Najuta kukishuhudia kizazi cha nyoka mapema hivi.Hata akina Kigunge watetezi wa Azimio la Arusha enzi hizo kimya.Wote hao walikuwa wanafiki kwa Mwalimu.Zuma na ANC yake ni aibu sana South Africa mpaka waafrika wenzao wanawashangaa.Rushwa rushwa unatupeleka wapi sasa na viongozi wetu?
TUKO KPINDI KIGUMU,nawaonea huruma watanzania wangu kwa kimya hiki,makaburi yetu yatakuwa MUSEUM ya wajukuu zetu kuangalia jinsi tulivyouza twiga hai,dhahabu,TANZANITE.Itabidi mafufu ya vichwa vyetu yachunguzwe kama yalikuwa na ubongo sahihi.