Si uende mwenyewe unakokopa ndio utaona masharti ya mkopo ,kwanini usubiri uambiwe humu,suala la mkopo ni suala nyeti kwa hiyo inabidi mwenyewe ufuatilie kwa karibu na sikupata ushauri kutoka humu JF la sivyo itakuja kula kwako na mwishowe uje aanza toa lawama kwa waliokushauri hapa JF
Thanks for the concern, ila nipo makini sana zaidi ya unavyofikiria.Najaribu kupata deatils coz hiyo ndo iliyobaki kupata vingine vyote including masharti vyote nimepata ila interest rate ndo bado.By the way ni haki ya kwetu wananchi kupata information hata kupitia mtandao.Yaani ukicheck Banks na makampuni mengi ya Tz hawana information zozote zaidi ya picha za wakurugenz kwene website zao.Mi sidhani kama ni muhim saana kwa mtu Kufunga safari kwenda benki kuuliza interest rate,wakati info kama hizi zingetakiwa kuwepo kwenye mtandao.
mkuu ...kwanini umechagua stanbic ... ninavyoelewa ni kwamba unachagua bank baada ya kujua uzuri wake hii ni pamoja na kujua their favorable interest rates .... sasa sijui kwanini umeanza kuichagua stanbic hali hujui interest rates offered
Wanajamii,
mwenye details na interest rate ya mkopo wa Stanbic anisaidie pls.
Ni mkopo wa kawaida around 50 Ml.
Nitanguliza shukrani!!
I know kuna option ya bengi zingine zenye masharti nafuu kupata mkopo.Lakini kwangu mm si rahisi kumeet vigezo vyao kama ambavyo naweza kufanikisha kwa Stanbic. By the Way Interest rates za Mikopo mingi ya bongo kweli inaumiza. Is as if watu wanataka kukukomoa vile.Maana ukifikiria 25% Per annum ni kubwa sana kwa mazingira ya maisha yetu wabongo.
mkuu ... ni kweli kabisa .... ukiachilia interest rates pia kuna loan processing fees ambazo pia ni kubwa sana ....kuna jamaa yangu alichajiwa about 12M kwa ajili ya kuprocess letter of credit .... unachukua mkopo unakuta makato makubwa ambayo hukutarajia na hawakwambii hizo fee kabla ya ku apply strategically with intention wakijua kwamba hutahoji kwakuwa shauku yako ni kupata ule mkopo ... kuna jamaa humu jf jukwaa hili hili anaitwa prime dynamics anaandika posts nzuri sana za kuhusu mikopo