mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,725
- 2,698
Poleni na pilika ndugu zangu;
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limetangaza nafasi mpya za kazi leo hii tarehe 22/08/2014.
Tangazo hilo linapatikana katika magazeti ya Daily News na Habari Leo. Pia linapatikana katika tovuti ya shirika (State Mining Corporation - Home -).
Mwisho wa kuomba nafasi hizo ni tarehe 05/Sept/2014 saa 9.30 alasiri.
Kila la kheri wadau.
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limetangaza nafasi mpya za kazi leo hii tarehe 22/08/2014.
Tangazo hilo linapatikana katika magazeti ya Daily News na Habari Leo. Pia linapatikana katika tovuti ya shirika (State Mining Corporation - Home -).
Mwisho wa kuomba nafasi hizo ni tarehe 05/Sept/2014 saa 9.30 alasiri.
Kila la kheri wadau.