Asterisk
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 214
- 50
Habari zenu wa TZ.
Tangu huu mwaka uanze nimehudhuria harusi nne tofauti, huwezi amin zote ukiangalia ni kwamba bwana harusi ametupia kwanza a.k.a PILOT.
YAANI MABIBI HARUSI NI WAJAWAZITO tena wanakua karibu kuzaa. Imekua ndo stail hapa mjin.
Kutoka na hilo, nafikiria kuwa enterpreneur kwa kufungua duka la shela za wadada wajawazito (lady in preginancy gown).
Kwa hii stail ya harusi jamani naona haijakaa vizuri, yaani hata heshima ya ndoa, ibada ya ndoa inapungua.
Halafu mkimaliza harusi, mnaenda honeymoon.
Wadada please, jitahidini kusubiri ndoa kisha ndo muanze kutafuta watoto.
Tangu huu mwaka uanze nimehudhuria harusi nne tofauti, huwezi amin zote ukiangalia ni kwamba bwana harusi ametupia kwanza a.k.a PILOT.
YAANI MABIBI HARUSI NI WAJAWAZITO tena wanakua karibu kuzaa. Imekua ndo stail hapa mjin.
Kutoka na hilo, nafikiria kuwa enterpreneur kwa kufungua duka la shela za wadada wajawazito (lady in preginancy gown).
Kwa hii stail ya harusi jamani naona haijakaa vizuri, yaani hata heshima ya ndoa, ibada ya ndoa inapungua.
Halafu mkimaliza harusi, mnaenda honeymoon.
Wadada please, jitahidini kusubiri ndoa kisha ndo muanze kutafuta watoto.