Jibu sasa ni wazi.Mheshimiwa hsmaki take ilikuwa in Ku implement mpango ambao ulishapangwa.Sad!Wakati tukisubiri tarehe 21.01.2019 kuripoti kuhojiwa, Spika amesitisha kufanya kazi na CAG!
Tutafakari:
-Je, Spika hajakiuka katiba na sheria?
-Je, CAG ataenda kuhojiwa na nani wakati Spika amesitisha kufanya kazi naye?
-Je, CAG ameshajibu kuwa hatoenda?
-Ripoti za ukaguzi za CAG zitakuwa zinawasilishwa wapi?
-Kwanini kamati zipanguliwe?
View attachment 995809
View attachment 995810
Sent using Jamii Forums mobile app