Mbowe Ana nafasi gani serikaliniHivi kuna dikteta kama freeman Mbowe? Miaka zaidi ya 20 amehudumu kama Mwenyekiti kama siyo ubabe in mini kinachomsibu huyu Freman Mbowe
Hapa tunajadili "miwaya" ya mzee kifimbo cheza au tuanze kujadili ya kule goba kwa cheupe?
Naam, hili hili la SoloMONi Bakora..Kimoko huyuhuyu mpiga gita la solo
Kwa tafsiri ipi ya udiktetaHivi kuna dikteta kama freeman Mbowe? Miaka zaidi ya 20 amehudumu kama Mwenyekiti kama siyo ubabe in mini kinachomsibu huyu Freman Mbowe
Duh!Mchanganyiko wa dali kimoko na diabetic ni mbaya sana
Hahahaaaaa,,,,,,halafu na wasi wasi hawa viongozi wetu wakuenda kutibiwa India huwa wanaacha akili zao huko huko IndiaMchanganyiko wa dali kimoko na diabetic ni mbaya sana
Self centeredWalio karibu na Spika Job Ndugai ni vema wakamwelewesha kuwa ameanza kulikoroga.
Uamuzi wake wa kuchukulia siasa kuwa personal attacks na si siasa unamwonyesha kama mtu wa visasi na ambaye anakosa uvumilivu katika kuendesha chombo kitukufu kama Bunge.
Ndugaii anatakiwa kuwa juu ya masuala petty ya kufuatilia nani kasema nini Facebook, au huyu kasema hivi, na kule huyu katamka vile.
Namwomba Ndugai ajiweke kuwa kama Spika wa Bunge la waTanazania wote na kuacha kuwa narrow minded.
Mkuu njoo Dodoma tukuhoji ila jiandae na kipimo cha mkojo pia?.
P
Kabisa mkuuili upate UMEME wa tanesco lazima uunge WAYA
Kwa akili yako fupi kukaa madarakani muda mrefu ndio udikteta? Mbona Sizonje ana miaka miwili tuu na yupo tayari kwenye orodha ya madikteta wa Afrika?Hivi kuna dikteta kama freeman Mbowe? Miaka zaidi ya 20 amehudumu kama Mwenyekiti kama siyo ubabe in mini kinachomsibu huyu Freman Mbowe
Unasemaje?!Walio karibu na Spika Job Ndugai ni vema wakamwelewesha kuwa ameanza kulikoroga.
Namwomba Ndugai ajiweke kuwa kama Spika wa Bunge la waTanazania wote na kuacha kuwa narrow minded.