safi mwanamabadiliko mwenzetu....Spencer Lameck.
Historia ya MABADILIKO ya nchi hii itakukumbuka
Dogo anatishaaa kinomaa ila siyo mtangazaji nguli i think ni mtangazaji mdogo aliyeibukia kwa kasi ya ajabu mno
mbona hamuwasifii watangazaji wa star tv na TBC
Wekeni namba yake ya m-pesa hapa fasta tumpe kamchango huyu mzalendo
KAMECK SPENCER 12j2314961511 hizo hapo mkuu za crdb
Hivi Huyu Dogo Si Ndiyo Huyu WAKATI Akiwa Hapo SJMC Alikutwa Na KASHFA YA KULA CHABO KTK MTIHANI Na KUFUMANIWA Na Denti Wa Darasa La 4 au? Halafu Sijui Hii Tabia Yake Ya KUPENDA KUOMBA KUOMBA HELA Kwa Sources Wa HABARI Ameiacha. Na Safari Hii AKIJISAHAU Tu Na Kuja Ktk Press Yangu Na AKITAKA Tip " NITAMPUMULIA KISOGONI " Ili Akanitangaze Vizuri Ktk TAARIFA Yake Ya Habari.
Kijana anaitendea haki taaluma yake. huwa ananifurahisha sana
Ukawa wakichukua nchii najinyea kama mamvii kwanzi ubungo mpaka kko
Ushabiki mwingine unatia kinyaa, watanzania wana matatizo makubwa sana ya kiakili. kama mmelogwa sawa ila kama mnatumia akili zenu kufanya ninayoyaona, mnahitaji tiba.
Mnamshabikia EL kwa lipi?
1. kuna rekodi ya utendaji kaiweka?
2.Kafuta umaskini jimboni kwake?
3. akiwa waziri kuna mambo muhimu alifanya kwa maslahi ya taifa?
4. Ufisadi wake mnajua umekandamiza maisha ya watanzania wangapi?
5. Jopo la marafiki zake wakuu mnajua wameiletea hasara nchi kwa kias gani?
Mtu anayemshabikia Lowasa namshangaa sana, naelewana na mtu anayepiga kura ili kubadilisha mfumo si kwa sababu ya kumuona Lowasa ni mtendaji katika hii nchi. tusiwe vilaza kias hicho.
Baada ya uchaguzi mtakuwa UKIWA maana hamjitambui mnataka mabadiliko na mabadiliko ni magufuli!..
poleni jaribuni 2020! CCM ni chama,UKAWA ni makubaliano!. Chama(stable) na makubaliano(unpredictable)
Ushabiki mwingine unatia kinyaa, watanzania wana matatizo makubwa sana ya kiakili. kama mmelogwa sawa ila kama mnatumia akili zenu kufanya ninayoyaona, mnahitaji tiba.
Mnamshabikia EL kwa lipi?
1. kuna rekodi ya utendaji kaiweka?
2.Kafuta umaskini jimboni kwake?
3. akiwa waziri kuna mambo muhimu alifanya kwa maslahi ya taifa?
4. Ufisadi wake mnajua umekandamiza maisha ya watanzania wangapi?
5. Jopo la marafiki zake wakuu mnajua wameiletea hasara nchi kwa kias gani?
Mtu anayemshabikia Lowasa namshangaa sana, naelewana na mtu anayepiga kura ili kubadilisha mfumo si kwa sababu ya kumuona Lowasa ni mtendaji katika hii nchi. tusiwe vilaza kias hicho.
Tulia wewe hela atoe mwingine wewe chuki ya niniHuo ndo ujinga mloambukizwa na mwenyekiti wenu, hicho ndo kihelehele, kwani kaomba mchango wenu? mnatabia za hisiahisia, leo akitoa taarifa isiyokufurahisha tena utasema kapewa pesa na ccm-acheni ujinga