🤔🤔

🇫🇷🇺🇦🚨‼️ “Putting Western troops on the ground in Ukraine is not ‘ruled out’ in the future”

1000050365.jpg

— Macron

😂😂

🇫🇷🇷🇺 Russia commented on Macron’s desire to send troops to Ukraine:

“Macron had two problems at once: first, urine probably got into his head, and then he became speech incontinent.”

1000050339.jpg

— Dmitry Medvedev, Deputy Chairman of the Russian Security Council.

Ghafla! Most European countries immediately denied the intention to send troops to Ukraine! Their reactions tells alot kwa wenye akili kuelewa 🤗.

🇭🇺🇺🇦‼️🚨
“Hungary opposes sending military personnel and weapons to Ukraine and believes that the conflict should not be deepened, but ended”
— Hungarian Foreign Minister Peter Szijjártó.

🇨🇿🇺🇦‼️🚨
“There is no talk of sending Czech military personnel to Ukraine”
— Prime Minister of the Czech Republic.

🇸🇪🇺🇦‼️🚨
“Stockholm is not considering sending its military to Ukraine”
— Swedish Prime Minister Ulf Kristersson.

🇵🇱🇺🇦‼️🚨
“Poland is not going to send its soldiers to Ukraine”
— Deputy Minister of Defense

🇬🇷🇺🇦‼️🚨
“There is no question of sending European NATO forces to Ukraine”
- Greek Prime Minister

🇩🇪🇪🇺‼️🚨
“NATO and European countries will not send their ground troops to Ukraine”
— Scholz

Then tujaribu kuwazua Russia ingekua ni nchi kama Libya, Afghanistan au Iraqi. Nini wangefanya au wange'comment kitu gani hawa watu baada ya mwenzao kuzungumza vile?
 
Ninafanya kazi na mrusi mmoja, juzi kati wakati tupo kizigo tukawa tunapiga stori, ananiambia hii vita haitaisha leo, inaweza kuchukua hata miaka kumi ila wao wanajua Kiev ni halali yao.

kwamba kipindi cha Soviet, makao makuu ya usovieti ilikuwa Kiev, hivyo vita itaisha siku wakirejesha makao makuu yao.
 
Msako unaendelea!

Ukrainian troops withdraw from two villages​


Ukraine has withdrawn from two villages in the east, according to a military spokesperson.


Dmytro Lykhoviy said troops withdrew from the villages of Severne and Stepove near Avdiivka, which was captured earlier this month by Russian forces in what marked its most significant gain in months.


Russia's defence ministry claimed its forces had captured Severne earlier today.


It comes after the Ukrainian military confirmed its retreat from the eastern village of Lastochkyne yesterday.



 


“Putting Western troops on the ground in Ukraine is not ‘ruled out’ in the future”

View attachment 2918279
— Macron



Russia commented on Macron’s desire to send troops to Ukraine:

“Macron had two problems at once: first, urine probably got into his head, and then he became speech incontinent.”

View attachment 2918280
— Dmitry Medvedev, Deputy Chairman of the Russian Security Council.

Ghafla! Most European countries immediately denied the intention to send troops to Ukraine! Their reactions tells alot kwa wenye akili kuelewa .


“Hungary opposes sending military personnel and weapons to Ukraine and believes that the conflict should not be deepened, but ended”
— Hungarian Foreign Minister Peter Szijjártó.


“There is no talk of sending Czech military personnel to Ukraine”
— Prime Minister of the Czech Republic.


“Stockholm is not considering sending its military to Ukraine”
— Swedish Prime Minister Ulf Kristersson.


“Poland is not going to send its soldiers to Ukraine”
— Deputy Minister of Defense


“There is no question of sending European NATO forces to Ukraine”
- Greek Prime Minister


“NATO and European countries will not send their ground troops to Ukraine”
— Scholz

Then tujaribu kuwazua Russia ingekua ni nchi kama Libya, Afghanistan au Iraqi. Nini wangefanya au wange'comment kitu gani hawa watu baada ya mwenzao kuzungumza vile?
Wangezungumza kishoha yaani Mikono juu na kusema, nachangia Jeshi!
 
Naam, ni zaidi ya mia nane walichinjwa Jana
Kanali MacGregor yeye aamini kuwa Ukraine katika mwezi huu wa Februari pekee imepoteza wanajeshi 49,000.

Na hiyo ni nyongeza ya wanajeshi kati ya 300,000 na 350,000 wanofikiriwa wamekufa tangu SMO ya Russia ianze.

Kwahiyo idadi kamili tangia vita ianze ya vifo vya majeshi ya Ukraine hadi kufikia leo yaweza kuwa imezidi 400,000.

Ukraine imepoteza wanajeshi wake wengi kwenye "counter offensive" ambayo walipeleka askari wengi ambapo walikumbana na ngome imara ya majeshi ya Russia ilioundwa na mabomu ya kutega, vifaru na UAVs.

Ukraine ilikuwa yapoteza wastani wa wanajeshi wapatao 1500 kwa siku.

Hivyo Ukraine isingeweza kuilinda Adveevka na ndo maana wakaamua kukimbia (wao waita kujiondoa).
 
Mbona hawaeleweki?
Uwezo wa kuingiza jeshi la USA na NATO Ukraine upo lakini ni kwa maslahi ya nani?

Hapo ndipo wanapokwama.

Pili, raia wa Marekani na Ulaya sasa hivi wameelewa uzuri ile video ya mahojiano ya Putin na Carlson hivyo yawawia vigumu sana mataifa ya NATO na Marekani kutengeneza hoja sahihi ya malengo ya vita na namna ya kutoa msaada zaidi.
 
Uwezo wa kuingiza jeshi la USA na NATO Ukraine upo lakini ni kwa maslahi ya nani?

Hapo ndipo wanapokwama.

Pili, raia wa Marekani na Ulaya sasa hivi wameelewa uzuri ile video ya mahojiano ya Putin na Carlson hivyo yawawia vigumu sana mataifa ya NATO na Marekani kutengeneza hoja sahihi ya malengo ya vita na namna ya kutoa msaada zaidi.
Sasa naelewa kwanini West walitumia mbinu nyingi kuzuia mahojiano yasifanyike.
 
Wakisema hivyo wamaanisha kwamba kila aina ya mbinu za kivita zatumiwa na NATO na US hivyo na wao ni lazima wajibu na kuwa sambamba navyo.

Vita vya Hybrid hujumisha matumizi ya mambo yafuatayo:

1. Vifaa vya zamani na vipya vya kivita na ndo maana silaha nyingi kwa upande wa NATO na US zimepungua maghalani kutokana na matumizi mabaya ya majeshi ya Ukraine. Russia watumia silaha zao kwa mpangilio ingawa Prigozhin alikuja kuwa mkali kwa kuona abaniwa lakini ukweli nikwamba Russia atumia silaha zake kwa mahesabu.

2. Information War -yaani vita ya habari yaani nani kasema nini na nani kasema visivyo hivyo kuweka mashindano ya nani habari zake au taarifa zake ndizo zenye uzito.

3. Matumizi ya vikosi vya kukodi ambapo Russia wana Wagner, Ghukas na vikosi vya Chechen wakati NATO na US nao waitumia Ukraine kupigana na Russia kwa niaba yao na pia kutumia vikosi vya kukodi kutoka katika sehemu ya wanajeshi wa zamani na wale wenye ujuzi mbalimbali.

4. Uchumi kwa maana ya kuwekeana vikwazo ambapo NATO na EU na US wameweka vikwazo vya kiuchumi kwa Russia lakini Russia watumia mbinu zingine kuhakikisha uchumi hautetereki kabisa na kusababisha matatizo kwenye nchi.

5. Vita vya mitandaoni (cyber attacks) na adversaries ambapo hivi sasa mitandaoni kuna vita watu washambuliana kwenye mifumo ya computers jambo ambalo halitangazwi ila vita hiyo ipo yaendelea.

6. Matumizi ya mbinu kama mabomu ya kutega kushambulia miundombinu ambapo Ukraine ndie hufanya sana hivi na pia kuua watu muhimu kutoka upande wa adui (assassinations) na kadhalika.

7. Matumizi ya vifaa vya hali ya juu vya kiteknolojia kama UAVs, AI katika kutambua targets na magari ya ardhini ambayo huchimba kuficha mabomu (huitwa VBIED au Vehicle Borne Improvised Device) bila kujulikana na maadui.

Na njia zingine nyingi za kisiasa, kidiplomasia kama vile kumtangaza Putin kuwa ni mhalifu wa kivita ambayo inamfanya mtu kuwa ametengwa au "isolated".

Hivyo NATO na US pamoja na washirika wote walijiandaa kwa aina hii ya vita na pia Russia na washirika wake pia walijiandaa vilivyo kwa miaka 8 tangu 2014.

Haya ni kwa ufupi tu.
Richard naamin NATO walishafanya majaribio ya kupeleka majeshi yao na wakafeli. Sio kweli kama baadhi yao walivyosema jana eti hawana mpango.

Hakuna cha F16, 22 sijui 35. Mwamba Russia kesha wavuruga NATO.


Kidogo nimejikumbusha uchambuzi wako wa July 2023
 
Kinachomponza Russia katika hii vita ni kupigana kwa huruma akiwaona Ukraine kama ndugu zake/damu yake.

Angemuiga mmarekani au Muisrael sasa hivi angekuwa anatawala eneo lote la Ukraine kwa namna alivyo na pesa za kuendesha vita,silaha za kivita,wingi wa idadi ya wanajeshi na ujasiri.

Hii vita Russia aliipanga vizuri kabsa na alijua namna nchi za magharibi zinavyomtegemea pindi wakiweka vikwazo.
 
Kinachomponza Russia katika hii vita ni kupigana kwa huruma akiwaona Ukraine kama ndugu zake/damu yake.

Angemuiga mmarekani au Muisrael sasa hivi angekuwa anatawala eneo lote la Ukraine kwa namna alivyo na pesa za kuendesha vita,silaha za kivita,wingi wa idadi ya wanajeshi na ujasiri.

Hii vita Russia aliipanga vizuri kabsa na alijua namna nchi za magharibi zinavyomtegemea pindi wakiweka vikwazo.
Huu ndio ukweli.
Ni ubinadamu tu wa-Russia, lakini Russia akiamua kutumia full capacity, ni within 72 hours anaifuta NATO na Ukraine pale UKRAINE.

Russia ni kiboko yao wale wakupindwa
 
Kinachomponza Russia katika hii vita ni kupigana kwa huruma akiwaona Ukraine kama ndugu zake/damu yake.

Angemuiga mmarekani au Muisrael sasa hivi angekuwa anatawala eneo lote la Ukraine kwa namna alivyo na pesa za kuendesha vita,silaha za kivita,wingi wa idadi ya wanajeshi na ujasiri.

Hii vita Russia aliipanga vizuri kabsa na alijua namna nchi za magharibi zinavyomtegemea pindi wakiweka vikwazo.
Yuko sawa mkuu,unajua akipigana Kwa kukamia,wanajeshi wengi watakufa,ndio maana anaenda slow but sure. Kwamba in case NATO wakijaribu kuingia Ukraine,awe ana man power yakuwakabili,hapo ndipo ataanza vita sasa.
 
Back
Top Bottom