Zephania living
Member
- Nov 22, 2016
- 22
- 9
Tsiara A inamsubiri nazani anatamani kwenda kula ugali waburedaaa pole sana ndugu nahisi mpka na reply hii text utakuwa central pole sana
Tsiara A inamsubiri nazani anatamani kwenda kula ugali waburedaaa pole sana ndugu nahisi mpka na reply hii text utakuwa central pole sana
Asilimia 80% ya maafisa kilimo wako mkoa wa Dar es Salaam. Mkoa wa wa Dar es Salaam eneo lake ni mji wa Dar es Salaam tu. Sheria za nchi haziruhusu watu kulima mjini. Cha ajabu maafisa kilimo wako mijini tu.Iringa wanalima Chai,
Tabora wanalima Tumbaku,
Mbeya wanalima Mpunga.
Morogoro wanalima Miwa,
Tanga wanalima matunda na Mkonge,
Dar es Salaam wanalima nini?
Makonda nakubaliana na wewe, ifute tu maana ipo sehemu kimakosa.
Mkuu hicho ndio kitu nilichobishania muda si mrefu uliopita.Asilimia 80% ya maafisa kilimo wako mkoa wa Dar es Salaam. Mkoa wa wa Dar es Salaam eneo lake ni mji wa Dar es Salaam tu. Sheria za nchi haziruhusu watu kulima mjini. Cha ajabu maafisa kilimo wako mijini tu.
Makonda kauona ukweli huu. Hivyo wizara husika iwahamishe watalaam hawa wakilimo kwenye mikoa inayolima hasa ile big 5: Sumbawanga, Ruvuma, Tabora, Mtwara, Songea na Kahama.
Ukishasema hivyo rejea sasa kauli ya mkuu wa mkoa. Hebu soma heading... yeye anasema anafuta kabisa idara hiyo na kuwafukuza kazi waliopo. Nadhani utakuwa umeshanielewa sasa...Kuwa na wataalamu ni jambo moja, kuwaajari wataalamu ni jambo lingine. Serikali imebana ajira kwahiyo kwao kukaa mitaani ni jambo lisilokwepeka bila kujalisha wanahitajika kwa kiasi gani.
Lakini kwa hawa waliopo kwenye mfumo wa ajira, wapelekwe penye uhitaji zaidi.Wakishatosheleza mikoani basi wanaweza kufanya kazi popote hata pale K/koo.
Hili jamaa na akili zake zilizokaa kushoto kama matege yake na domo kubwa kama bakuli, halijitambui, nipeni Cv yake
Safari hii nchi imepata viongozi kila mtu anafanya maamuzi anayotaka yeye
Makonda anafanya kazi clouds hii nchi inavituko vya kila aina Nchi inaongonza kwa ukulupukaji
Hii Mala nachukua nchi uchumi ulikua unakua kwa aslimia 7%mala sasa hivi unakua kwa 6% ndo jiulize kuna mtu hapo nchi hii inasafari ndefu
Tatizo kubwa ninaloliona kwa watz wengi ni kulinganisha uongozi mmoja na mwingine. Hakuna uongozi duniani unaofanana. Siku zote rais mpya akiingia kutakuwa na tofauti ya maelekezo.
Mzee mwinyi aliwahi kusema kila kitabu na enzi yake.
Ni vema tukakubali haya yanayoyendeka sasa kwa kuwa wataalamu wa menejimenti wanasema hakuna njia moja ya kuongoza.
Hzo namba au mawasiliano ya kupokea malalamiko yawe yanafanyiwa kazi, kuna kpnd nlienda amana hosptal kwenye sanduku la maoni pamejaa, mhudumu wa usafi akasema kaka usijisumbue huwa wanafungua wanachukua chache nyngne wanatupaBinafsi ninaona mtindo anaoufanya Makonda atatumia gharama kubwa sana za uendeshaji mfano kuilipa Clouds, kununua mafuta ya gari na kuyafanyia service magari, wakati kuna kazi anatakiwa kuzifanya mfano kudhibiti Shisha (akimaliza aufikirie ujambazi).
Akiwa King'azi ametoa namba ya simu ya kuripoti utendaji mbovu wa wenyeviti wa serikali za mitaa, hiki ndicho kilitakiwa kufanywa tangu mwanzo, kuwe na vyombo ambavyo vitakua na kazi ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi mfano email, fax, namba za simu, dawati la huduma kwa mwananchi n.k.
Ukiwa na chuki na mtu au Chama unapoteza umakini, utakua na ushahuri zaidi ya kulalamika, je makonda ndio aliepiga simu au umeamua binafsi tu ili upate uhalali wa kushutumuShida iko hapa, Makonda kampigia Magufuli simu live wakaongea kuhusu hizo kero na maelekezo yakatolewa kwa simu kupitia hicho kituo binafsi cha redio
Adharusi rafiki tafuta ile clip iko mitandaoni isikilize, yasikilize yale mazungumzo kisha rejea hapa tafadhali nitakuwa nakusubiriUkiwa na chuki na mtu au Chama unapoteza umakini, utakua na ushahuri zaidi ya kulalamika, je makonda ndio aliepiga simu au umeamua binafsi tu ili upate uhalali wa kushutumu