Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

Vatican kuwa mji mtakatifu pia kwa wakatoliki ni kutokana na sababu kuu mbili, moja, Wakati muanzilishi wa dini na kanisa katoliki duniani mtakatifu Peter (ST Peter) aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu anaanza mafundisho juu ya ukatoliki mwaka 32-67 alifikia Vatican akitokea Jerusalem mara baada ya kifo cha Yesu, hivyo hili kumuenzi mji huo wa Vatican umepewa heshima hiyo ya holy city.

Sababu ya pili ni makao makuu ya kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani.
Mzee wangu baada ya kifo cha yesu au baada ya yesu kupaa mbinguni!! Maana yesu kafa siku 2 ya 3 kafufuka sasa unasema peter alikwenda Italy baada ya kifo cha yesu inaamana ni cku mbili tu peter kafika italy mhhhhh
Halafu hakuna hata mfuasi wa yesu alofika ulaya
 
Mzee wangu baada ya kifo cha yesu au baada ya yesu kupaa mbinguni!! Maana yesu kafa siku 2 ya 3 kafufuka sasa unasema peter alikwenda Italy baada ya kifo cha yesu inaamana ni cku mbili tu peter kafika italy mhhhhh
Halafu hakuna hata mfuasi wa yesu alofika ulaya
peter hajawahi kufika italy hizo ni stor zilizotengenezwa na vatcan
 
Yohana 3:5-7 (KJV) Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, Hamna budi kuzaliwa mara ya pili.

Mimi ili andiko nikilisoma nawaza wanaosema mtoto hasibatizwe wanaelewa kweli msisitizo wa Yesu kwenye kubatiza? Au sijui ni kipimo gani wanaweka kusema sasa huyu ni mtu mzima siyo mtoto, miaka 16, 18, 20, 25 au 30? Hivi katoto ka miaka 7 kakiiba au kuvunja Amri yoyote kati ya zile 10 je hatoandikiwa dhambi kwa vile ni mtoto?

Mwisho; tujiulize Ubatizo ni kwa ajili ya nini? Kama ni kutuondolea ile dhambi ya uasi ya Adam ambayo mtu anazaliwa nayo, Je mtoto akifariki bila kuondolewa ile dhambi kuna andiko linalotwambia uyo mtoto ataondolewa iyo laana(dhambi) kwa vile kafariki akiwa mtoto?
 
Feast of the Baptism of the Lord.
Hii ni sikukuu ya ubatizo wa Yesu. Katika siku hii Papa ubatiza watoto na ufanyika jumapili ya kwanza baada ya sikukuu ya Epifania. Huu ni utamaduni wa Vatican ulioanzishwa na Papa John Paul II. Sikukuu hii ni kumbukizi ya ubatizo wa Yesu na mtakatifu John katika mto Jordan.

Hapa chini ni picha ikimuonyesha Papa akimbatiza mtoto siku ya kumbukizi ya ubatizo wa Yesu.View attachment 2211290
Ipi Sheria ya kubatiza watoto Kwa mjibu wa biblia?
 
Vatican kuwa mji mtakatifu pia kwa wakatoliki ni kutokana na sababu kuu mbili, moja, Wakati muanzilishi wa dini na kanisa katoliki duniani mtakatifu Peter (ST Peter) aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu anaanza mafundisho juu ya ukatoliki mwaka 32-67 alifikia Vatican akitokea Jerusalem mara baada ya kifo cha Yesu, hivyo hili kumuenzi mji huo wa Vatican umepewa heshima hiyo ya holy city.

Sababu ya pili ni makao makuu ya kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani.
Uongo, uongo, uongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom