Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,906
- 150,214
Mimi binafsi nampongeza Chenge the Don maana kwa Mara ya kwanza kwenye hili sakata hayumo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi binafsi nampongeza Chenge the Don maana kwa Mara ya kwanza kwenye hili sakata hayumo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.[/QUOTE
anabeef na muhongo
Je kuliingiza taifa katika mikataba mibovu iliiuwa ni sehemu ya kazi zake?Safi Kabisa, swali muhimu hilo! Mitanzania na akiri za kushikiwa???!
Umehama mada....Lissu alisema report ya prof Mruma ni rubbish, unategemea mkuu angesemaje?
Ama kwa hakika tumsifu na tumtangaze Prof Mruma kuwa shujaa wa Taifa!
Profesa huyu alijipenyeze kwenye uwenyekiti wa bodi na sekta mbalimbali za madini kwa kazi maalumu ya kupata taarifa na mbinu mbalimbali za kuzuia wizi wa miaka mingi wa rasilimali hizi.
Amerisk maisha yake na amejitoa muhanga kwa ajili ya Mama Tanzania.
Kupitia ukurasa huu tutoe pongezi zetu za dhati.
CCM lazima ihusishwe na matatizo na utatuzi wake katika nchi hii...CCM ni kongwe na ndio tegemeo pekee la nchi hii.Sawa pia kama wapo ndani ya CDM kama lengo ni njema kwa manufaa ya wantanzania, unakubali ccm ndo matatizo ya nchi hii?
Daktari ni vigumu kujiponya mwenyeweCCM lazima ihusishwe na matatizo na utatuzi wake katika nchi hii...CCM ni kongwe na ndio tegemeo pekee la nchi hii.