Naomba msaada gari hizi mbili tofauti yake ni nini! Na je ni gari imara, Recommendation please wadau.
ni gari nzuri sana zipo mbomba hazisumbui kabisa mimi ni spacio new model nimekaa nayo mwaka na nusu haina tatizo lolote na sasa nauza nataka kubadili tu... ipo bomba kama unahitaji ni PM tuwasiliane