Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Bantugbro,
Mkuu unapoint japo huyu Nairoberry haoni unachouuliza.
What I believe will happen ni kwamba hii construction itakua mara mbili. Lazima kutatengezwa bomba
kutoka huko Heglig hadi Juba afu pia kutakua na hio ya Juba hadi Lamu.
Geza Ulole, has raised an interesting point about the chinese trying to be hash hash with this construction thing.
I have no idea why. Kisha pia tukumbuke kua Mchina anataka afaidi kotekote na hii dili ya mafuta na kuuza
silaha.
Kazi ipo!
Mbona kazi ipo..
Haya tusubiri tuone wataanza lini huo ujenzi mana mshiko washapewa...Afu hii ishu ni zaidi ya ile ya Nundu wetu maana watoa hela ni haohao, watathmini mradi ni haohao, wajenzi ni haohao, wauza silaha ni haohao, na wachota wese ni haohao...:yo: