Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Dah wana Jf honey wangu yeye ni mmoja wa wahanga wa mafuriko na amemaliza tu chuo mwaka huu pale UDSM,analia kuwa vyeti vyake vyote(chuo+A-level+0-level+primary) vmesombwa na maji hvyo anabidi tena arudie darasa la kwanza yoo