Wanatapatapa ilhali CCM nje ndani imezungukwa na wafuasi watiifu wa EDOHapo ndipo unapoelewa kuwa Ngoyai ni mwanaume.
Kwenda zako Mnafiki wewe.Hoja zikiwaisha matusi ndio mliyobakiza ....
Bado hajafukuzwaSafi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Tangu linivulisikia kauli ya Mh. Majaliwa kumuunga mkono Lowasa??? Ulisikia akilalamika kuwa hakuridhika na maamuzi yaliyochukuliwa kumuengua Lowasa???
Hio video unamuona Mh. Majaliwavakiimba au amesimama kama ada iwapo Mwenyekiti anakuwa anaingia ukumbini??? Chadema acheni propaganda za kitoto....
KAULI ZA KIJINGA.MACHALI KUJA KWENU NA WENGI SIWATAJI MAJINA NI UCHAFU ?MTU ANA UHURU KUCHAGUA ATAKAPO.AFANDE SELE NAYE UTASEMAJE.?KAMA HUNA CHA KUSEMA BORA UKAKAA KIMIYA.Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Mmoja akiokoka ni furaha...lazima avikwe vazi jipya na kuchinjiwa mwanakondoo aliyenonaAkija CHADEMA huyo mama SIMBA ghafla anakuwa mtakatifu, chadema wanamfutia tuhuma zote anazituhumiwa, kama mwenzake LOWASA na MAHANGA, manake huko nyuma CHADEMA mlikuwa mnahoji uhalali na upatikanaji wa PhD ya Dr mahanga, ila leo hii mahanga wamemfutia tuhuma (CHADEMA wana mamlaka kama ya mahakama), Lowasa miaka nane ya matusi, kutukanwa na kejeli kutoka CHADEMA na gazeti lao la MWANAHALISI leo hii anaonekana DHAHABU ngojea tusubirie kwa huyu mama SIMBA sijui itakuwaje.
Siyo akitaka anakuja tu na namna uwezo wa kumkataaAnakaribishwa akitaka
Nchimbi na Kimbisa wataendelea kuwepo ndani ya ccm hivyo shaka hakunaWasimsahau Jesica Msavatavangu
Huna ujuwalo weweSiku zake zinahesabika
Mwanachama mpya wa chadema anakujaunalia nini? huna cheti ?au unatumia cheti cha jirani ?
Kwa hiyo 2020 hakuna wakumpinga,hata iweje?Hakuna atakayepinga mabadiliko hayo
Na Dr. Chegeni Campain Manager wa LaigwananWasimsahau Jesica Msavatavangu