eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
habari,
Katika hali ya kustuka au kusasambuka basi Sophia Simba yupo katika wakati mgumu kimaisha hivi sasa... Akiwa anapiga simu kwa kila mtu na kuanza kuweweseka baada ya CHADEMA kumpiga biti kuwa itampiga sero kama akishindwa kusasambua umbea wake kuwa cdm inapewa dogodogo toka majuu... Yeye anaulizia hivi sasa kama sheria ipo ya propaganda za kisiasa zisifunguliwe kesi...
Mama huyu mwenye masters ya ¨sheria¨ anabahatisha mambo ama kwa bahati mbaya au ucheki bobu wake umezidi... Sasa Lissu na Mabere wanataka akanyee debe..Bahati mbaya saaana maana aliongea kwa bahati mbaya sana halafu anasema hakusema hivyo kama CDM walivyotafsiri bali alishangaa tuu na kudai labda hawa wanafadhiliwa lakini hakusema ubalozi wowote unawafadhili..
Masikini Sophia mdomo umekuponza maana jamaa wanataka ukalale sero hata dakika kumi tuu uje utuhadithie shemeji zako wa bagamoyo!!
Nawasilisha
Katika hali ya kustuka au kusasambuka basi Sophia Simba yupo katika wakati mgumu kimaisha hivi sasa... Akiwa anapiga simu kwa kila mtu na kuanza kuweweseka baada ya CHADEMA kumpiga biti kuwa itampiga sero kama akishindwa kusasambua umbea wake kuwa cdm inapewa dogodogo toka majuu... Yeye anaulizia hivi sasa kama sheria ipo ya propaganda za kisiasa zisifunguliwe kesi...
Mama huyu mwenye masters ya ¨sheria¨ anabahatisha mambo ama kwa bahati mbaya au ucheki bobu wake umezidi... Sasa Lissu na Mabere wanataka akanyee debe..Bahati mbaya saaana maana aliongea kwa bahati mbaya sana halafu anasema hakusema hivyo kama CDM walivyotafsiri bali alishangaa tuu na kudai labda hawa wanafadhiliwa lakini hakusema ubalozi wowote unawafadhili..
Masikini Sophia mdomo umekuponza maana jamaa wanataka ukalale sero hata dakika kumi tuu uje utuhadithie shemeji zako wa bagamoyo!!
Nawasilisha