mkubwa niko interested na hiyo kitu ila shida yangu naomba niandikie model number ya hiyo mashine..... nataka nicheki review yake before hatujaanza negotiation! am waitingSONY VIAO
4GB RAM
320 GB HARD DISK
DUe core 2
DVD RW
WEBCAM
na kadhalika...
600,000/=
mkubwa niko interested na hiyo kitu ila shida yangu naomba niandikie model number ya hiyo mashine..... nataka nicheki review yake before hatujaanza negotiation! am waiting
ni mpya?
hapana sio mpya ni used.
chaja inakaa masaa mangapi?
?
mwenye thread umeshauza hii laptop?
SONY VIAO
4GB RAM
320 GB HARD DISK
DUe core 2
DVD RW
WEBCAM
na kadhalika...
600,000/=
kaka kuwa makini wakati wa kuuziana. Nakumbuka story ya mwenzetu aliyeibiwa, so sad, plse take care
mkuu kama hujaiuza chukua laki nne fasta kama inalipa ni pm namba yako nije kuichukuaMbona unakuwa mwoga?
mkuu kama hujaiuza chukua laki nne fasta kama inalipa ni pm namba yako nije kuichukua