Mkuu wangu wajinga ndio waliwao kwani nyie mnausikia tu Ubepari hamuujui hata chembe!..nitarudia kusema nafikiri, nakula na kulala kama bepari!..pamoja na kwamba najua mabaya yake..Ujamaa hutanguliwa na fikra za mitumba...kutafuta vitu cheap maisha cheap na rahisi ktk kugawana umaskini...Mjamaa Mkandara, anayeishi kwa mapebari Canada kwi kwi kwi!!!
Ningelikuwa mimi yule waziri mkuu wa Australia ningemwambia Mkandara kama wewe mjamaa, nenda North Korea basi! kwi kwi kwi!!!
Mtanzania
You are missing the point here, binafsi sishabikii Dowans wala sina maslahi yoyote na Dowans, ninachosema tutumie sababu za kiuchumi kuamua kama tunataka kununua au la na wala sio sababu za kisiasa. Kama hakuna sababu za kiuchumi, basi hakuna haja ya kununua, hiyo ndio point yangu tokea mwanzoni. Kitu ambacho mimi napinga ni hii sababu ya kwamba tusinunue kwasababu Dowans watafaidika, kwa mimi ningeangalia je taifa litafaidika?