Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Rais mpya wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amenusurika jaribio la kumuua mjini Mogadishu.
Milipuko miwili imetokea nje la lango la makao ya rais huyo katika hoteli ya Al-Jazeera wakati rais
huyo alipokuwa anajiandaa kufanya mkutano na waandishi wa habari.
Taarifa zinasema kuwa waziri wa mambo ya nje wa Kenya Sam Ongeri pia alikuwa katika hoteli hiyo
wakati wa shambulizi. Hata hivyo wawili hao wamenusurika. Ingawa inaarifiwa kuwa mtu mmoja ameuawa.
Source: BBC
Milipuko miwili imetokea nje la lango la makao ya rais huyo katika hoteli ya Al-Jazeera wakati rais
huyo alipokuwa anajiandaa kufanya mkutano na waandishi wa habari.
Taarifa zinasema kuwa waziri wa mambo ya nje wa Kenya Sam Ongeri pia alikuwa katika hoteli hiyo
wakati wa shambulizi. Hata hivyo wawili hao wamenusurika. Ingawa inaarifiwa kuwa mtu mmoja ameuawa.
Source: BBC