Soma hapa unipe Ushauri;Mpenzi ana Majini!

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,802
282
Habari wana MMU,.
Mwaka mmoja nilikutana na mdada mzuri sana, tukapendana. Uchumba ukatimia, tukavishana pete yetu! Tatizo mdada akawa anakavmba kchwa, nkmpigia cm anagoma...Anafoka!

Nikawa sielewi, baada ya miez mitano,akanipa mkasa wa maisha yake. Akasema tangu akiwa secondary, ana mpenz jini. Akilala, anafanya nae mapenz, asbuh anajikuta kajpga mabao. Tena kacema ameshazaa na mtoto!

Mwez wa saba, akaomba hela aende kwa waganga wa kienyeji, nikampa! Bas nikavumilia vjmambo vng na vurugu kbao, IKAFKA HATUA ANAGOMA KUTOA NYAPU, kisa majini! Mimi nikakaa chni na kuwaza,majini gan hayo?

Mwishowe nikachemsha, nkajtenga, nikamwambia ukweli... Lapa nimechapa! Ni mwaka mmoja tangu niteme!

Swali; kweli majini yapo?? Kuna m2 ana detail ya haya mambo?!
 
Majini kweli yapo na huwasumbua wengi ambao wamewapa, sasa ushauri ni lazima nikuulize wewe kuwa ulitaka kuona au chapa ilale?
Kama ni kuoa huna haja ya kuhangaika mpeleke aombewe majini yote yatatoweka na utapata mke mwema ila sijui huyo mtoto kama kazaa na huyo jini?
 
sasa huyo mtoto walizaaje?....na ni binadamu au ni kitu gani?.....kweli duniani kuna viroja
 
Yapo na ninasikia huwa hayapendi mtu aoe/aolewe.
Wewe sijui ilikuwaje.
Halafu jiangalie vizuri isije ikawa amekupunguzia.
 
isje ikawa alikuwa anakusudia jini ni wewe? linapokuja suala la matumizi ya grammar kwenye mipasho hawa jinsia ya upinzani wanakuwa vere fluent.
 
ona Avatar ya Mkereketwa sijui naye ni jini au duh!! inanitisha si mchezo!!

ila kama kuna wafuasi wa shekhe yahya humu watakupa majibu!!!
 
ona Avatar ya Mkereketwa sijui naye ni jini au duh!! inanitisha si mchezo!!

ila kama kuna wafuasi wa shekhe yahya humu watakupa majibu!!!

duuh hata mie imenitiiisha mwili wote umesisimuka uuwiiii jini jinii
 
Join Date : 17th February 2011
Location : Mars
Posts : 251
Thanks 151 Thanked 83 Times in 56 Posts

Rep Power : 21

sweetdada uko fasta ile mbaya kupost juzi tu umejoin leo ushakuwa senior expert... ok majini siyaamini kwani hamna YESU NDANI YENU?Kama yapo huyu bwana ampeleke kwa pastor aombewe au kwa padri apakwe mafuta matakatifu,,aache hizo imani za kuogopa yawezekana huyu DADA HAMTAKI KAONA AMKATAE KWA GIA ya kusingizia jini.
 
mzee yapo, na yana wivu ajabu, yanaweza kukuua na wewe kama unayalia nyapu yao...kama yakiamua yanakuacha lakini yanasubiria kuharibu mimba au kuua mtoto wako akizaliwa...nakupa pole..nakushauri umwambie uyo mdada aende kwa walokole akaombewe, usimwambie aende kwa waganga wa kienyeji kwasababu anapoenda huko anazidi kuongeza mengine, itafika kipindi yataanza kumla na tigo sasa.....sijui dini yake lakini asiende kwa waganga w akeienyeji tena..mwambie aende kwa walokole...
 
hayo mambo yapo-ila ukimpeka kwa kanisa akaombewa itakuwa ndo mwisho wa hayo madude-waganga wa kienyeji hawawez kuyatoa-wao wanayatuliza tu kwa muda
 
Back
Top Bottom