Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Habari wana MMU,.
Mwaka mmoja nilikutana na mdada mzuri sana, tukapendana. Uchumba ukatimia, tukavishana pete yetu! Tatizo mdada akawa anakavmba kchwa, nkmpigia cm anagoma...Anafoka!
Nikawa sielewi, baada ya miez mitano,akanipa mkasa wa maisha yake. Akasema tangu akiwa secondary, ana mpenz jini. Akilala, anafanya nae mapenz, asbuh anajikuta kajpga mabao. Tena kacema ameshazaa na mtoto!
Mwez wa saba, akaomba hela aende kwa waganga wa kienyeji, nikampa! Bas nikavumilia vjmambo vng na vurugu kbao, IKAFKA HATUA ANAGOMA KUTOA NYAPU, kisa majini! Mimi nikakaa chni na kuwaza,majini gan hayo?
Mwishowe nikachemsha, nkajtenga, nikamwambia ukweli... Lapa nimechapa! Ni mwaka mmoja tangu niteme!
Swali; kweli majini yapo?? Kuna m2 ana detail ya haya mambo?!
Mwaka mmoja nilikutana na mdada mzuri sana, tukapendana. Uchumba ukatimia, tukavishana pete yetu! Tatizo mdada akawa anakavmba kchwa, nkmpigia cm anagoma...Anafoka!
Nikawa sielewi, baada ya miez mitano,akanipa mkasa wa maisha yake. Akasema tangu akiwa secondary, ana mpenz jini. Akilala, anafanya nae mapenz, asbuh anajikuta kajpga mabao. Tena kacema ameshazaa na mtoto!
Mwez wa saba, akaomba hela aende kwa waganga wa kienyeji, nikampa! Bas nikavumilia vjmambo vng na vurugu kbao, IKAFKA HATUA ANAGOMA KUTOA NYAPU, kisa majini! Mimi nikakaa chni na kuwaza,majini gan hayo?
Mwishowe nikachemsha, nkajtenga, nikamwambia ukweli... Lapa nimechapa! Ni mwaka mmoja tangu niteme!
Swali; kweli majini yapo?? Kuna m2 ana detail ya haya mambo?!