Soko la Mahakama ya ndizi lililopo Manzese jijini Dar es Salaam hivi sasa linavunjwa. Risasi na mabomu zinarindima, vile vile kuna Gongo la Mboto (Mabomu) yanatumika kwa sasa, na barabara ya Morogoro imefungwa kwa sasa. Hizi zimeibuka hivi punde tu
Nimepita hapo ss hv watu ni wengi sana kuna askari kibao wafanya biashara wamenafanya vikao vya pembeni kujadili nn cha kufanya kwani kuna ambao walikuwa hata hawakufanikiwa kutoa bidhaa zao hali ni tete wana JF!
Askari wetu wanadhani kulipua mabomu kila siku ili kutisha raia ndiyo suluhisho?
Hawajui kuwa Binadamu tuna hulka ya kujenga mazoea na mambo yanayojitokeza mara kwa mara?
Wakati ukifika, tukayazoea hayo mabomu watafanyaje sasa?
Inabidi watafute njia mbadala ya kudhibiti hasira ya umma, kuliko kupambana nayo. Njia sahihi ya kudhibiti hizo hasira ni kwa kuutendea haki Umma, vinginevyo njia wanazotumia ni za muda tu, na badala ya kudhibiti, zinachochea. The worst is yet to come kwa mtindo huu.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.