vibaka ni sehemu ya tatizo kwani hufaidi mali za watu pindi soko likiungua na ndiyo tunafikiri wachomaji wa mioto hiyo. lakini tunawapongeza wafanyabiashara wa mwanjelwa (kinga) baada ya kibaka mmoja kushindwa kushusha mzingo aliobeba mwanjelwa na kujikuta anajisalimisha polisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.