Marcovicsavic
Senior Member
- Nov 14, 2020
- 130
- 298
Kwa miaka mingi sana vilabu kutoka Tanzania vimekua si lolote si chochote kwenye soka la Afrika mpaka pale Simba SC walipo kata utepe kwa ku Qualify Group stage, kwa umri wangu ndio mara ya kwanza niliona klabu ya Tanzania kuingia group stage licha ya kwamba miaka yote alikuwepo bingwa alie enda kushiriki.
Baanda ya miaka kadhaa kwa Simba SC kuendelea kutamba huko kumataifa tumewaona Yanga Sc na wao waki anzisha utawala wao kiasi cha kutinga mpaka fainali shirikisho barani Africa.
Msimu huu timu zote mbili zinawania tiketi ya kwenda clabu bingwa makundi, ila tayari Yanga kasha weka mtaji wa ushindi wa goli mbili igenini huku simba wao wakitoka sare na goli mbili za away.
Kwa hesabu za kawaida ni kama Yanga amesha fuzu na simba wana zaidi ya nusu ya asilimia kufuzu makundio.
Kwa mantiki hii kwa mara ya kwanza katika historia ya Afrika Tanzania inapeleka vilabu viwili makundi ya clabu bingwa Afrika.
Wengi wanachukulia wepesi hili jambo ila sio jambo la kuchukulia wepesi kabisa. Hii ni zaidi ya achievement.
Swali ambalo nime jiuliza na kukosa majibu haya yanayo endelea ni kwasbabu ya kukua kwa soka la Tanzania au, soka la Afrika limeshuka so na watanzania wana serereka huko?
Kuna siku Yanga na Simba watakutana huko clabu bingwa kwenye mtoano, iwe robo au nusu, au fainali, na hapo ndio patakapo chimbika bila jembe.
Baanda ya miaka kadhaa kwa Simba SC kuendelea kutamba huko kumataifa tumewaona Yanga Sc na wao waki anzisha utawala wao kiasi cha kutinga mpaka fainali shirikisho barani Africa.
Msimu huu timu zote mbili zinawania tiketi ya kwenda clabu bingwa makundi, ila tayari Yanga kasha weka mtaji wa ushindi wa goli mbili igenini huku simba wao wakitoka sare na goli mbili za away.
Kwa hesabu za kawaida ni kama Yanga amesha fuzu na simba wana zaidi ya nusu ya asilimia kufuzu makundio.
Kwa mantiki hii kwa mara ya kwanza katika historia ya Afrika Tanzania inapeleka vilabu viwili makundi ya clabu bingwa Afrika.
Wengi wanachukulia wepesi hili jambo ila sio jambo la kuchukulia wepesi kabisa. Hii ni zaidi ya achievement.
Swali ambalo nime jiuliza na kukosa majibu haya yanayo endelea ni kwasbabu ya kukua kwa soka la Tanzania au, soka la Afrika limeshuka so na watanzania wana serereka huko?
Kuna siku Yanga na Simba watakutana huko clabu bingwa kwenye mtoano, iwe robo au nusu, au fainali, na hapo ndio patakapo chimbika bila jembe.