S sem2708 JF-Expert Member Nov 4, 2010 5,218 4,247 Dec 6, 2014 #1 Wakuu nakunywa Pepsi hapa. Sijawahi kunywa soda mbaya kama hii. Wewe je ipi mbaya zaidi?
K KgHM Member Aug 11, 2014 43 11 Dec 6, 2014 #2 Acha uchochezi wewe.Nani kakulazimisha kuinywa?mimi hapa nakunywa peps ni tamu sana.
Honey Faith JF-Expert Member Aug 21, 2013 15,784 11,802 Dec 6, 2014 #5 Si umwage ununue iliyo nzuri kwako
Kiongozi Ajaye Member Nov 30, 2014 13 1 Dec 10, 2014 #6 Mbaya kwako kwetu nzuri acha uchochezi na Kuharibu biashara za watu,, piga kimya!
MankaM JF-Expert Member Apr 20, 2013 9,448 3,054 Dec 13, 2014 #9 Pepsi dare for more bariiiidi ni tamu sana labda unambie unakiungulia
Prezidah JF-Expert Member Feb 1, 2013 750 182 Dec 13, 2014 #11 sem2708 said: Wakuu nakunywa Pepsi hapa. Sijawahi kunywa soda mbaya kama hii. Wewe je ipi mbaya zaidi? Click to expand... Coke & pepsi zote ni kama sigara basi tu wenyewe hawajaweka onyo
sem2708 said: Wakuu nakunywa Pepsi hapa. Sijawahi kunywa soda mbaya kama hii. Wewe je ipi mbaya zaidi? Click to expand... Coke & pepsi zote ni kama sigara basi tu wenyewe hawajaweka onyo
M motsepe Senior Member Apr 8, 2014 137 34 Dec 14, 2014 #13 Honey Faith said: Si umwage ununue iliyo nzuri kwako Click to expand... Haa huyu nae sijui katumwa na coke kuua biashara ya pepsi
Honey Faith said: Si umwage ununue iliyo nzuri kwako Click to expand... Haa huyu nae sijui katumwa na coke kuua biashara ya pepsi