Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Ndani ya meli,wa2 makabila tofauti walikua na mizigo,meli ilizidiwa ilibidi mizigo ipunguzwe,Mzungu akatupa computer, akasema"kwe2 zpo tele,
Mchina akatupa box la cmu akasema"kwetu zipo tele" Mmasai akatupa shanga akasema hizi zipo kibao kwetu.mhindi akatupa box la tambuu,
Mchaga anahaha hajui atupe nn kila kitu chake anakionea uchungu ,ghafla alimtumbukiza Mmasai akasema
"Yesu na maria hawa wapo tere ARUSHA".
Mchina akatupa box la cmu akasema"kwetu zipo tele" Mmasai akatupa shanga akasema hizi zipo kibao kwetu.mhindi akatupa box la tambuu,
Mchaga anahaha hajui atupe nn kila kitu chake anakionea uchungu ,ghafla alimtumbukiza Mmasai akasema
"Yesu na maria hawa wapo tere ARUSHA".