Embu weka source apa jamvini sio mahali pa kukurupuka n kuropoka..!
msanii aliyejishindia tuzo kibao ,alitamba na muv kibao kama vile salt,ameondolewa matiti yake yote mawili kumuepusha na cancer,julie mwenye watoto sita pia ameondolewa kizazi chake huku mumewe brad pitt akimsifia kwa ujasiri.chanzo bbc.
Sichoki kuiangalia Mr&Mrs Smith, Original Sin akiwa na Banderas, Salt nliifagilia japo siyo saaana hapo pekundu nlimsikia Salim Kikeke akisema yamepunguzwa na hayajaondolewa.
I Hope he will be ok
id yako inaonekana kuwa ww ni bingwa wa kuague ila poa .new york times.bbc.cnn.nk.hapa ni ma gt.tu