Yah Mkuu i wonder jinsi wakwere wengi humu, maana rais wangu na wako Dr Slaa tunajua mahesabu, hata mm sitaki kuongozwa na mkwere he doesn't even know addition? addition...? kweli huyu mkwere kakwereka ndio maana wanaiba kama shuleni wasiojua somo kazi yao ni kuiba mitihani, au kuibia wale wanaojua somo, so mkwere katuibia kura kwa sbb hata simple maths hajui, addition, subtraction..? hii ni magazijuto so simple, je logarithms, calculus & analysis, logic, Probability & Combinations, algebra, geometry & topology, etc yaani sitaki kulipa kodi yangu kwa mtu asiye jua kutoa na kujumlisha, period, ndio maana anahidi vitu asiye jua, upupu, hewa promises, he is out of touch, nasema si Rais wangu, ni haki yetu kusema hili, hadi kieleweke
Acha kutukana kabila zima kwa sababu ya chuki ya mtu mmoja ambaye ni rais wako.