Baada ya Trump kuwa Rais mteule wa USA, Mkurugenzi wa polisi wa Clay County Pamela Ramsey Taylor ameandika haya:
“It will be so refreshing to have a classy, beautiful, dignified First Lady back in the White House.”
She added: “I’m tired of seeing a Ape in heels.
( Tafsiri yangu " Itakuwa ni faraja kuwa na mke wa Rais mwenye hadhi, mzuri na anayeheshimika Ikulu, nimechoka kumwona nyani akiwa amevaa viatu virefu.
Baada ya Taylor kutuma ujumbe huo Meya wa jimbo la Clay, Beverly Whaling alijibu asante umeifanya siku yangu Pam.
“It will be so refreshing to have a classy, beautiful, dignified First Lady back in the White House.”
She added: “I’m tired of seeing a Ape in heels.
( Tafsiri yangu " Itakuwa ni faraja kuwa na mke wa Rais mwenye hadhi, mzuri na anayeheshimika Ikulu, nimechoka kumwona nyani akiwa amevaa viatu virefu.
Baada ya Taylor kutuma ujumbe huo Meya wa jimbo la Clay, Beverly Whaling alijibu asante umeifanya siku yangu Pam.