UramboTabora
Member
- Sep 11, 2008
- 49
- 2
Kwa hili ninaimani kila mtanzania analijua ni viongozi wawili tu katika serikali ya jk waliogoma na kubishia malipo ya dowans na wakiwa kwenye ya baraza la mawaziri la sasa ambapo mwanzo walisemwa saana na viongozi wengine. haya sasa mme yaona kwa msimamo wao mpaka jk anaibuka nakuyakataa malipo hayo bila hao viongozi hao wawili inawezekana mida hii li cheki lingekua limeshatoka, ama amna semaje wezangu wana JF ? hapo chini ni maelezo ya raisi kuhusu sakata hilo JK aunga mkono Dowans isilipwe