Kumbe kuna hata hii imo, we ni noma. Nasikia mwanamke asipotokewa na msela kama mwezi mzima huwa akili inakosa akili na anaweza ambia hata mti nakupenda.
hivi kongosho wewe ni mwanaume au mwanamke?lol,nimeshindwa kukusoma kabisa...lol
Pesa ipo bana!! Rejao hashindwi kituHuku kuna wazungu ila hawana hela za vekesheni.
mchumba ila nashangaa nashinda jukwaa la love conect,kuangalia whats new....au niko kwenye denial nahitaji mwenza eti???
humu kuna wazungu????
LOLS.
we sijui ni mtabiri, au umerithishwa na shehe yh.good news,i hope PM yako inafanya kazi na haijajaa?lol,na pia bankstatement yako imenona....vekesheni hapa inahusu...lol
nishakuzoea,unajibugi kwa jeuri....sijui kwa nini?