Sita Acha Kumdhalilisha Rais

Huyu mzee kuna vitu anachimba ndani ya chama chake,na wakifanya mchezo atakiparanganyisha hichi chama,hizi kauli zake si za kinafiki tu bali zmepangwa na anajua nini anafanya, kwa kauli ile ya juzi ya kuwahusisha wenzake na mbio za urais 2015 siamini kama alikurupuka,haiingii akilini mtu kama sitta atamke vile bila kuwa na sababu maalum,kuna kitu ana pima na hasa ikifahamika kuwa mpinzani wa sitta ni lowasa na lowasa ndio anatajwa kuwa na nguvu ndani ya chama kwa sasa,siamini kama sitta na group lake watakubali lowasa asimame 2015,hapa lazima tutoboe mashua itote tugawane mbao......tuendelee kusubiri mwisho wa hizi drama za sitta,najua mwisho wake hautakuwa mzuri, bila shaka mwisho ukawa kama suala la richmond....tukumbuke kuna vitu havikusomwa ili kulinusuru taifa....mwakyembe.
 
Sita anasema kwamba wapo wafanyabiashara wanamhujumu Rais Kikwete. Kwamba Sitta anawafahamu hao watu. Hivi Mh. Sitta kama Rais anawafahamu wanaomhujumu na hawachukulii hatua Tumuiteje Mh. Rais. Kuna Viongozi wengine wanatoaga kauli za Kuwalamba Miguu Mabos wao Kumbe wanawadhalilisha. Kwamba Sitta anamaanisha kwamba pamoja na Nguvu zote alizonazo Rais lakini anawaachia wanaomhujumu?

Rasimu imemtia kiwewe na tutasikia mengi tu kwake na wengine kama yeye (waroho wa madaraka)!
 
Sita anasema kwamba wapo wafanyabiashara wanamhujumu Rais Kikwete. Kwamba Sitta anawafahamu hao watu. Hivi Mh. Sitta kama Rais anawafahamu wanaomhujumu na hawachukulii hatua Tumuiteje Mh. Rais. Kuna Viongozi wengine wanatoaga kauli za Kuwalamba Miguu Mabos wao Kumbe wanawadhalilisha. Kwamba Sitta anamaanisha kwamba pamoja na Nguvu zote alizonazo Rais lakini anawaachia wanaomhujumu?
Hawa ndio wale waumini wa ile kauli ya "Rais anaangushwa na watendaji wake", inaniudhi...! Kama anaangushwa yeye utendaji wake ni upi kama sio kuwachukulia hatua hao appointees wake?
 
TUAMBIANE wapinga serikali tatu ilivyo gahrama kuziendeshaukilinganisha na sasa! Kwenye Sosholojia kuana kitu tunaita CONSUMPTION BEiHAVIOR-kwamba idadi ya watu kwenye familia si sababu pekee ya kwamba chakula kitaliwa kingi! Kuna sababu ya watu wachache kula Chakula kingi na watu wengi kula chakula kidogo! Mtu mmoja aweza kula chakula cha watu wanne kama ilivyo watu wanne kushiba kwa chakula cha mtu mmoja..!Kuwa na viongozi wengi wasio walafi ni bora kuliko viongozi wachache walafi wa mali ya UMMA....Viongozi wa sasa ni walafi....

Tatizo watanzania inapotokea jambo basi kila mtu anataka aonekane kwamba na yeye kasema kitu fulan! Tangu rasmu hii ya katiba itoke baadhi ya watu tena wengine ni watu walioshika wadhifa mkubwa tu serikalini wanasema serikali tatu ni mzigo halafu hawaonyeshi hizo gharama wanazosema zitakuwa nyingi na wala hawagusii gharama za sasa za kuendesha serikali! Kwa kweli nawashangaa sana huwezi tu kusema gharama zitakuwa kubwa bila ushahidi! halafu hawatoa pendekezo kwamba wao wanataka serikali ngapi na zitajiendeshaje na kamainawezekana kuwa na serikali wanazotaka. Jamani tuweni wakweli muungano wetu kila mmoja anaujua vyemakabisa, kusema kubaki na huu muungano wa sasa ni kutoona mbali maana hapa tu ulipo umekaa vibaya sana hata ujaribu kuuweka sawa vp utaishia huko huko kwenye serikali tatu, kusema kwamba tuwe nchi moja hilo haliwezekani na anayebiasha akaongelee hilo suala zanzibar ndio ataona kwamba anachokisema ni pumba! Hata Nyerere mwenyewe hakuthubutu kiifanya nchi hii iwe tena wakatihuo watu wengi walikuwa hawajaelimika kama ilivyo leo! Sasa hao wanasema serikali tatu ni mzigo hebu wapendekeze serikali wanazotaka wao tuone kama zitakubalika na zitajiendeshaje! Serikali tatu ndio suluhu ya huu Muungano wetu kwa sasa cha msingi ni kuweka vipengele vya kufanya pande zote za muungano zisijaribu kutemper na muungano kwa namna yoyote ile!
 
serikali Tafu si gharama beans,wanaosema gharama wanalinganisha na mini? wanataka kuchakachua issue is not cost, there something behind that guys. msifuate upepo wandugu.
 
serikali Tatu si gharama beans,wanaosema gharama wanalinganisha na mini? wanataka kuchakachua issue is not cost, there something behind that guys. msifuate upepo wandugu.
 
ni kweli mkuu, muundo wa serikali tatu utaliongezea mzigo taifa letu masikini!!?

wewe kaisome vizuri hii rasimu.. ishu ya gharama haitakuwepo kabisa. nenda kaisome vizuri.
mfano mdogo tu. magufuli waziri wa barabara alikuwa ni waziri wa serikali ipi???? je uliwai kumsikia akizitolea matamko barabara za zanzibar?? jibu No.... je ni barabara za muungano???? jibu tena no. jibu sahihi ni za tanganyika.
ktk rasimu hii kilichofanyika ni kuirasimisha serikali ya tanzania bara ambayo ilikuwepo pasi na kutanjwa pia wizara km za kilimo. kazi. madini. mifugo nk
fungua sikio we need serikali tatu
 
TUSUMBUKIE MKOA MMOJA WENYE WATU Im+ wa nini?tunatafuta sifa ili iweje? KUANZIA KESHO WAZENJ WOTE WAINGIE TANGANYIKA KWA PASSPORT/VISA. NA WALIOPO BARA WAOMBE URAIA KWA GHARAMA NAFUU.
 
Back
Top Bottom