Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,069
- 8,327
Habari za wakati wenu wana MMU!!
Ni ulimbukeni ama ujanja, unakuta mtu anagharimia kitu kimoja kwa ajili ya show off, mfano simu mtu anajikamua kufanikisha anakuwa na HTC ama iPhone 5s au kwa wale wa magari mtu anaspend kudecorate gari pesa kibaao, mara chrome ream, sijui mapafyum na ukiangalia anapoishi ni sehem ya uswaz, anapikia mkaa, choo ni kupeana zamu kudeki.
Ni vyema maisha yetu ya nje yakareflect vile tulivyo, lazima kila kitu kiende mshazari na sio kuonesha show iko siku unatembelewa na jamaa wa ofisini unaeza goma enda nao kwako
Kwa hisani yangu mwenyewe
Washawasha, [MENTION]Bubuji[/MENTION]
Ni ulimbukeni ama ujanja, unakuta mtu anagharimia kitu kimoja kwa ajili ya show off, mfano simu mtu anajikamua kufanikisha anakuwa na HTC ama iPhone 5s au kwa wale wa magari mtu anaspend kudecorate gari pesa kibaao, mara chrome ream, sijui mapafyum na ukiangalia anapoishi ni sehem ya uswaz, anapikia mkaa, choo ni kupeana zamu kudeki.
Ni vyema maisha yetu ya nje yakareflect vile tulivyo, lazima kila kitu kiende mshazari na sio kuonesha show iko siku unatembelewa na jamaa wa ofisini unaeza goma enda nao kwako
Kwa hisani yangu mwenyewe
Washawasha, [MENTION]Bubuji[/MENTION]
Last edited by a moderator: