Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Serikali ituangalie kwa nini sisi hatupewi heshima tunayostahili? Na sisi Migambo ni jeshi. Nimeona mara nyingi watu hawatuoni kama sisi ni chombo cha dora.
Sijaelewa kwa nini. Nimekwazika sana leo kondakta kanikomalia nitoe nauli na amemwacha askari asilipe. Mimi kanikomalia kinyama mpka kuna msamalia kanitolea.
Nimeumia sana... Kwa nini sisi hamtuoni kazi tunazofanya? Leo nimekwazika sana. Maana siku hizi hata kukamata vyakula hamna. Zamani ilikuwa sometimes mnaenda kamata watu kariakoo mnapata na msosi wa kurudi nao home.
Sasa hivi hata matunda haya tunalazimisha tu kukamata watu wanaouza katikati ya barabara. Serikali au Jiji ituangalie. Kazi tunazofanya ni nzito na wengine hatujapandishwa vyeo.
Leo tumebishana sana na yule konda fala. Anasema kabisa kwa mazarau kuwa mgambo kitu gani. Yeye ndo wakusema hivi? Nimeli mark lile gari. Kuna siku tu tutaanzishiwa timbwili nitamzalisha yule fala. Yaani yeye wa kuonesha mazarau kabisa mbele ya mademu kwenye gari?
Sijaelewa kwa nini. Nimekwazika sana leo kondakta kanikomalia nitoe nauli na amemwacha askari asilipe. Mimi kanikomalia kinyama mpka kuna msamalia kanitolea.
Nimeumia sana... Kwa nini sisi hamtuoni kazi tunazofanya? Leo nimekwazika sana. Maana siku hizi hata kukamata vyakula hamna. Zamani ilikuwa sometimes mnaenda kamata watu kariakoo mnapata na msosi wa kurudi nao home.
Sasa hivi hata matunda haya tunalazimisha tu kukamata watu wanaouza katikati ya barabara. Serikali au Jiji ituangalie. Kazi tunazofanya ni nzito na wengine hatujapandishwa vyeo.
Leo tumebishana sana na yule konda fala. Anasema kabisa kwa mazarau kuwa mgambo kitu gani. Yeye ndo wakusema hivi? Nimeli mark lile gari. Kuna siku tu tutaanzishiwa timbwili nitamzalisha yule fala. Yaani yeye wa kuonesha mazarau kabisa mbele ya mademu kwenye gari?