harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Kumbe enzi za nyuma inasadikika mfalme alioa binti kibonge wakati wa picha
kumbeba ikawa kazi kubwa ya kuchosha na ya nguvu sasa hawa jamaa
wakaanzisha mfumo maalum kwamba wadada wawe vipotable na ndio hapo
ilipoanzia suala la mamisi
Sisi huku ingetakiwa tuwe na miss bantu sasa tumejipotosha na tukaanza
tukawaiga wao sijui itakuaje hapo...nakosa binti aliyejaza kama Mnyakyusa hivi
yaani aliyeshiba umbo nane ya ukweli sio mchina.......ohhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.
kumbeba ikawa kazi kubwa ya kuchosha na ya nguvu sasa hawa jamaa
wakaanzisha mfumo maalum kwamba wadada wawe vipotable na ndio hapo
ilipoanzia suala la mamisi
Sisi huku ingetakiwa tuwe na miss bantu sasa tumejipotosha na tukaanza
tukawaiga wao sijui itakuaje hapo...nakosa binti aliyejaza kama Mnyakyusa hivi
yaani aliyeshiba umbo nane ya ukweli sio mchina.......ohhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.