Siri ya mishahara serikalini na fumbo la madaraja

Lung'wecha

JF-Expert Member
Aug 20, 2014
927
574
nimekuwa mhanga sana katika suala la upangaji wa mishahara na madaraja yake, mfano TGOS,TGS, PSOS n.k watu tunaomba kazi serikalini kwa kuangalia madaraja yale lakini wengi hatuelewi ni kiasi gani hasa! mbaya zaid baadhi ya taasisi za serikali sijui wana madaraja yao?? mf,unawezakuta tangazo lina poss 4,puts. n.k madaraja ambayo hatuyaoni kwenye salary scale za serikal! sasa je kwanini madaraja yote yasibainishwe na pesa zake taslim kuliko kuwafumba macho wasaka ajira??? nakaribisha maoni kwa wanaojua zaid masuala haya!
 
Kwa mujibu WA sheria za utumishi WA umma mshahara ni sir I kati ya mwajiliwa namwajili. Do maana serikalin unaruhusiwa kuacha kazi kWA kutoa taarifa au pasipo kutoa taarifa.ukatoa not is I ya Massa 24.
Kwa mfano tu shahada anaanzia na levo d (tgs d,tgts d) astashahada levo b na stashahada levo c.
Kuhusu madaraja inategemea sana
muundo WA Kada husika
Nafasi kuwepo za Kada husika
Uhitajikaji WA Kada husika
Uwezo WA taasisi au hazinA kulipa mishahara
Ndo maana utasikia tunasubili vibali to a hazina
 
Lengo LA serikalj MTU mwenye mapenzi na kazi flan na kufanyia idara flan ananejihisi anamudu tunamuitajiki
Lengo Si Kuvutia wahitimu kwa mishahara hata kidogo.lengo kumpa yule ambaye hana na anauhitaji
Km nafasi imekosa MTU mtumishi mwingine anaamishiwa huko au anasomeshwa mtumishi ili kukidhi hitaji l vigezo
 
Back
Top Bottom