NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Yanick Bangala kwangu Mimi bado ni kitasa haswaa tena ni mchezaji mzuri japo kuwa Yanga inaviungo wakabaji wengi lakini ukipiga hesabu za uchezaji namba sita (6) hakuna wa kumfikia Yanick Bangala.
Inasemekana Bangala anatolewa kwa mkopo kwa sababu ya nidhamu haswa kwa kosa la kudai posho na bonus zilizoahidiwa Mara kwa Mara kuonekana ni msumbufu mbele ya viongozi.
Kwangu Mimi Yanick Bangala hakuna kiungo atakayeweza kumfikia kwa uchezaji wake na viongozi wa Yanga sc wasijidanganye na kujifariji kwa ujio wa Jonas Mkude.
Kama wachezaji wanadai stahiki zao wapewe kuliko kuanza kuwatoa kwa mkopo.
Inasemekana Bangala anatolewa kwa mkopo kwa sababu ya nidhamu haswa kwa kosa la kudai posho na bonus zilizoahidiwa Mara kwa Mara kuonekana ni msumbufu mbele ya viongozi.
Kwangu Mimi Yanick Bangala hakuna kiungo atakayeweza kumfikia kwa uchezaji wake na viongozi wa Yanga sc wasijidanganye na kujifariji kwa ujio wa Jonas Mkude.
Kama wachezaji wanadai stahiki zao wapewe kuliko kuanza kuwatoa kwa mkopo.