President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Kwa jinsi karata zinavyochangwa na timu za kampeni kwa pande zote mbili, ni dhahiri kuwa Sioi wa CCM ataibuka mshindi kwa tofauti ndogo sana ya kura.
Laiti kama CHADEMA wangekuwa makini zaidi, na pia kama wasingepoteza 'concentration' kwa kauli ya Zitto kutamani urais 2015, mambo yangeweza kuwa tofauti.
Anyway, ushindi kwa Sioi wa CCM ni ushindi tu, hata kama itakuwa ni kwa kumzidi mpinzani wake kwa kura kiduuuchu!!
Laiti kama CHADEMA wangekuwa makini zaidi, na pia kama wasingepoteza 'concentration' kwa kauli ya Zitto kutamani urais 2015, mambo yangeweza kuwa tofauti.
Anyway, ushindi kwa Sioi wa CCM ni ushindi tu, hata kama itakuwa ni kwa kumzidi mpinzani wake kwa kura kiduuuchu!!