Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,801
- 4,851
uelewa wa hali ya juu au ukichaa wa hali ya juu?Siloam Church ni believers ambao wana ufahamu mkubwa sana, hoja za mtoa mada ni dhaifu. Pilipili ziko shambani, wewe zinakuwashia nini?
uelewa wa hali ya juu au ukichaa wa hali ya juu?Siloam Church ni believers ambao wana ufahamu mkubwa sana, hoja za mtoa mada ni dhaifu. Pilipili ziko shambani, wewe zinakuwashia nini?
Ni uwenda wazimu wa hali ya juu.uelewa wa hali ya juu au ukichaa wa hali ya juu?
Nilikuwa sijamuelewa Mshana JR kumbe ndo hawa pool of siloam.?Pool of Siloam!
Hili kanisa ni moja kati ya makanisa ya kiroho lililo tofauti na makanisa yote ya kikristo. Ngoja nikupe story kidogo juu ya hili kanisa,
Mosi.... Hakuna popote penye ishara/alama ya msalaba kama ilivyo makanisa mengine ya kikristo, ndani ya majengo ya makanisa yao.
Pili... Kila mkoa Tanzania una jina lake, Kwa mfano Moshi panaitwa Ararati, Singida panaitwa Sayuni, Mwanza - Yericko,
Hata hapa DSM kila kitongoji kina jina lake, Mfano TABATA inaitwa, .... wanajua wenyewe
Tatu: Kiongozi wao anaitwa MUNGU WA MAJESHI- MIAKA 1000 , wanamwabudu kama mungu, wanaamini hata huwezi kumuona
Nne: Mwanzilishi wa hilo kanisa , alikuwa anaitwa Munuo (Mmachame), alifariki mwaka juzi bila kukosea, akazikwa huko Bagamoyo, wanasema alipaa mbinguni kama Yesu, hata vyombo vya habari ya CNN , BBC vilionyesha. Ajab hakuna local media hata moja iliyoripoti tukio kubwa kama hilo.
wachungaji wengi wa hilo kanisa ni Wamachame
Tano: Biblia yao haina kava la juu, wameweka lakwao, kila siku wanabadili na kupunguza mistari kwenye biblia, MUNGU WA MAJESHI anasemu MUNGU wetu aliye hai ndie kamwaguza kufanya hivyo. Kwa kifupi biblia yao ina viaraka
Sita: wanaposali /wakiwa kwenye maombi wanatingisha vichwa , na kubana sauti inakuwa kavu hatari. Kama ni mara ya kwanza kwenda hapo, huwezi kusikia chochote.
Saba: waumini wao wana hali mbaya sana kiuchumi.
Nane: Hawatumii miezi yetu, sijui February, Janurary au March , wao miezi yao ni Zifa, n.k
Ukienda hapo utastaajabu....
Huyu Pdidy nadhani anasali kwa Gwajima...naye akili zake huwa sometimes zinarukaSi ndio kanisa analosali pididy wa JF?
Alipokufa Munuo alileta taarifa huku kuwa Nabii wao amepaa mbinguni
Shika neno
kwa shauku ya kujua kuhusu ili kanisa lipoje, siku moja miaka ya 2006 niliingia la pale external, wanatumia kitabu cha mormons unaweza kufuatilia kwa undani imani ya wa-mormons.Aiseee manake huwa silielewi elewi na lingine lipo ile barabara ya ubungo external ni soo
hii story imenoga sababu ya majina.Wana bifu sababu ya hela.KANISA (Mke wa marehemu Eliya kizazi cha nne) anataka kuwapanda kichwani kina MIAKA 1000(Ambaye Eliya alimkabidhi huduma).Sasa WAKUU WA NJIA hawamkubali MIAKA 1000,wameenda kumchoma kwa KANISA.KANISA amepata kiburi akazira kusali hapo makao makuu mbezi.
Maybe typing error sure 9 imejigeuza kimiujiza
Kuna jamaa yangu kakimbilia huko alikuwa mlutheli,sasa ukimpigia simu ukitaja jina lake anakata simu then anakutumia sms anakwambia mimi naitwa nuru huyo unayemtaja ni mdudu gani simfahamu!
Halafu ukitofautiana nao ukutenga kuna watu ndoa zinayumnishwa maana jamaa uwaingia wakina na kutaka familia kuamia imani hiyo.
Jamaa aliyumba hadi wakatengana na mkewe baadaye walielewana mkewe halitoka siloam.
Jamaa alikuakakariri mambo ya kanisa, kichwa, agano na mengine nimesahau mwenyewe akihadithia uwa inasikitisha halafu inachekeaha.
Jamaa hata watoto hawapeleki hospitali.