Je! Ndoa ni utwamwa? Nini chanzo cha yote haya? Jana usiku nikiwa na jamaa yangu, ilinilazimu nipite kwake kuna ka mzigo kangu kaliachwa kwake. Kabla hatujaingia ndani aliniambia subiri kwanza nisafishe sim yangu ni chafu nikiingia nayo ndani kitanuka.
Nikiwa kwenye hali ya bumbuwazi nisijue anamaanisha nini, ilinilazimu niulize kwani ni ya mama ulidondosha chini? Akacheka sana, akasema hapana! Kuna ma sms nayafuta na mamiss call, bila aibu jamaa alipigia watu si chini ya 7 kuwajulisha wasimtafute amefika nyumbani. Ebu tafakari mtu ana michepuko zaidi ya 7 na kila mchepuko unapiga mnyonyo.
Nikiwa kwenye hali ya bumbuwazi nisijue anamaanisha nini, ilinilazimu niulize kwani ni ya mama ulidondosha chini? Akacheka sana, akasema hapana! Kuna ma sms nayafuta na mamiss call, bila aibu jamaa alipigia watu si chini ya 7 kuwajulisha wasimtafute amefika nyumbani. Ebu tafakari mtu ana michepuko zaidi ya 7 na kila mchepuko unapiga mnyonyo.