She is real cute kwa kweli
Mzuri anaweka nywele za maiti?
Unauhakika gani, uliwaua wewe na kuwanyoa??!
Niliangalia kwa makini na ingawa sizezi hakikisha 100% nadhani ni zakwake ila aliweka rangi ...Mzuri anaweka nywele za maiti?
hiyo itakuwa made in KLM-Kilimaanjaro tu,sema mama atakuwa wa kagera,ndo maana mguu uko vzuri................ingekuwa viceversa ingekuwa kituko
Msamiati wa nywele zozote za kubandika, ziwe za kutengenezwa au za binaadam mwengine aliyekatwa akiwa hai au amekufa.
Unaonesha hata utamu wa lugha hauuelewi, watu kama wewe ndio mkisikia "usiache mbachao kwa msala upitao" huwa mnauliza "hiyo mbacha na huo msala uko wapi?" Afanaaleyk.
<br /><img src="http://redpepper.co.ug/welcome/wp-content/uploads/2011/08/A-gorgeous-babe-closelyf-ollows-the-proceedings-of-the-night.jpg" border="0" alt="" />
In addition am just getting picture of laziness
Beauty is subjective, for me there is beauty but not stunning.