Simply stunning beauty

sijaona chochote natural hapo,..mtoto materialistic sana,..cute like many girls i meet and know...nothing outstanding
 
Unauhakika gani, uliwaua wewe na kuwanyoa??!

Msamiati wa nywele zozote za kubandika, ziwe za kutengenezwa au za binaadam mwengine aliyekatwa akiwa hai au amekufa.

Unaonesha hata utamu wa lugha hauuelewi, watu kama wewe ndio mkisikia "usiache mbachao kwa msala upitao" huwa mnauliza "hiyo mbacha na huo msala uko wapi?" Afanaaleyk.
 
Msamiati wa nywele zozote za kubandika, ziwe za kutengenezwa au za binaadam mwengine aliyekatwa akiwa hai au amekufa.

Unaonesha hata utamu wa lugha hauuelewi, watu kama wewe ndio mkisikia "usiache mbachao kwa msala upitao" huwa mnauliza "hiyo mbacha na huo msala uko wapi?" Afanaaleyk.

Wewe Zomba mbona unaleta ukamanyola hapa... msamiati uko wapi hapo kwenye hiyo sentensi yako ya awali??!! Dupek!
 
<img src="http://redpepper.co.ug/welcome/wp-content/uploads/2011/08/A-gorgeous-babe-closelyf-ollows-the-proceedings-of-the-night.jpg" border="0" alt="" />
<br />
<br />
In addition am just getting picture of laziness
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom